Coca Cola Company wamewezaje kuendesha biashara duniani kote bila kumiliki kiwanda wala magari ya kusambaza soda zao tofauti na Pepsi?

Coca Cola Company wamewezaje kuendesha biashara duniani kote bila kumiliki kiwanda wala magari ya kusambaza soda zao tofauti na Pepsi?

Big businesses karibu zote zinatumia hiyo system (franchise), na they are in control 99%, wanakuazima tuu kutumia brand name na standards zote, production, advertisement, distribution etc utafanya unachoambiwa na mpaka mkopo wa kujenga kiwanda watakupa, na wana uwezo kuchukua license yao anytime ukivuruga, uzuri wanakupa monopoly na power kwa sababu ya brand
Franchisee lazima awe mwaminifu ili asichafue brand lazima wakupokonye license ili kulinda brand yao akizingua
 
Uzi mzuri. Hapo ukifuatilia kwa karibu kuna sababu kadhaa.Moja ,cocacola inapwa backup moja kwa moja na serikali ya Marekani.Ukirejea kwenye ule mgogoro wake na China,walipozuia huawei ,China wakatishia kuzuia cocacola kuuzwa China, srikali ya Marekani wakarudi nyuma. Kwa hiyo Africa kuna vichwa kama Dongot katengeneza kiwanda cha kuchakata mafuta namba moja kwa uwezo duniani,leo hii shirika la mafuta Nigeria (NNPC) washamgeuka kibali . Na mwisho advantag ya cocacola ndiyo kampuni inayoongeza kutumia nguvu kubwa kweny matangazo duniani ,hivyo ni rahisi pia kuuza zaidi. Kumbuka cocacola wana muwakilishi kila nchi kwa ajili ya kuonja sampl za kila batch, (Hii walitueleza tulivyotmbelea Cocacola Mbeya branch), hivyo wanatumia cost kubwa mnoo.
 
Nafikiri wengi wetu mmewahi kusikia na hata kutembelea viwanda vya kutengeneza soda za Coca Cola kama kile cha Coca Cola Kwanza pale Mikocheni, DSM, Bonite Bottlers pale Shiri Matunda, Moshi, Kilimanjaro na Nyanza Bottling Co, Ltd Mwanza.

Basi ujue Coca Cola company ambayo makao makuu yake yako Downtown Atlanta, GA, Marekani sio wamiliki wa viwanda hivyo. Wamiliki wa viwanda hivyo ni wadau ambao wamelipia leseni kwa Coca Cola Company kutengeneza na kusambaza soda za Coca Cola.

Coca Cola Company huwaita Bottling Partners. Wapo zaidi ya 200 duniani na wanamiliki viwanda zaidi ya 950 duniani kote.

Coca Cola Company wanafanyaje nao biashara? U.S Coca Cola HQ wao huwapa kwanza leseni ya trade mark kutumia nembo (brand) ya Coca Cola halafu Coca Cola Co, wanawauzia tu
  • Concetrates​
  • Beverage bases​
  • Syrups​

Kwa hiyo jukumu la
  • Kutengeneza
  • Packaging
  • Kutangaza
  • Kusambaza kwa wateja zaidi ya bilion 2 kwa siku duniani kote
Linabaki kwa Bottling Partners hapa tunazungumzia akina Coca Cola kwanza, Bonite Bottlers na wengine duniani. Kwa hiyo Coca Cola Company hawamiliki, hawa-manage wala ku-control bottling companies.

Hayo ni mambo ambayo Coca Cola Company iliyo na makao makuu Marekani hayawaumizi kichwa na wamesave billions of money.


Ni mchezo rahisi sana ambao hata bilionea Warren Buffet ambaye pia ni mwanahisa kwenye kampuni hiyo aliwahi kumwambia Bill Gates
:​

"Even a ham sandwich could run Coca-Cola"
Warren Buffet


Jinsi Coca Cola wanapiga pesa kwa kuuza syrup kwa bottling partners hii inaitwa The Syrup Secret:
Concentrate cost: $2.50
-Water & packaging (bottler pays) = Final product: $10+

Coca-Cola margin: 80%+
Bottler margin: 15%


FUN FACT: Coca-Cola sells 2.1 billion drinks every day.

Yet they:
Don't make the drinks
Don't own the factories
Don't handle distribution
Don't even bottle them

Present in 200+ countries
$46B annual revenue
Still worth >$280B.

Wakati makampuni mengi makubwa duniani yakitumia mabilioni ya pesa ili kuwafikia wateja wao worldwide, upande wa Coca Cola wamedominate global distribution without owning anything. They own the 'brand name' and the 'syrup secret'
Mfumo wa Franachise hauko kwa cocacola pekee, rudi tena kasome, Cocacola hawamilik Magari yapi? yale ya Nyanza Bottle au Bonite ni ya kwenu?

Mfumo wa Franchaisee upo pia kwenye migahawa na biashara zingine.
 
They own the 'brand name' and the 'syrup secret'
Ilikuwa zamani, Usha soma kisa cha Kule Urusi baada ya kuanza Vita Ukrinr na kampuni za Wazungu kuondoka Urusi ikiwemo Cocacola? Warusi wanazalisha hizo soda taste ni hio hio utofauti ni majina tu.
 
Bilionea Warren Buffet na kampuni yake ya Berkishire Hathaway atabaki kuwa miongoni mwa wanahisa bora zaidi kutokea duniani anajua wapi pa kuwekeza ambako hakuna risk.​

"Nobody buys a farm based on whether they think it's going to rain next year. They buy it because they think it's a good investment over 10 or 20 years."
—Warren Buffet​
sio hisa zote alizonunua zilifanya vizuri
 
Nawaza Ladha ya Cocacola Hapa mkoani kwangu inaweza ikawa tofauti na cocacola niliyoletewa kutoka New York city?
Majibu kutoka kwako msomaji.
 
Back
Top Bottom