Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #41
Swali ni kwanini sisi wa Africa(ngozi nyeusi) hatutengenezi brand na bussiness ideology kama hizo za KFC, MCDonalds , Starbucks, Coca cola?
Big businesses karibu zote zinatumia hiyo system (franchise), na they are in control 99%, wanakuazima tuu kutumia brand name na standards zote, production, advertisement, distribution etc utafanya unachoambiwa na mpaka mkopo wa kujenga kiwanda watakupa, na wana uwezo kuchukua license yao anytime ukivuruga, uzuri wanakupa monopoly na power kwa sababu ya brand
Mfumo huo hata Total Energy wanautumia hiyo mbinu sio coca pekee yake
Ndio maana ubota wa coca uko chini kuliko pepsi, huku wanatujazia maji ya ruvu
Mfumo wa Franachise hauko kwa cocacola pekee, rudi tena kasome, Cocacola hawamilik Magari yapi? yale ya Nyanza Bottle au Bonite ni ya kwenu?Nafikiri wengi wetu mmewahi kusikia na hata kutembelea viwanda vya kutengeneza soda za Coca Cola kama kile cha Coca Cola Kwanza pale Mikocheni, DSM, Bonite Bottlers pale Shiri Matunda, Moshi, Kilimanjaro na Nyanza Bottling Co, Ltd Mwanza.
Basi ujue Coca Cola company ambayo makao makuu yake yako Downtown Atlanta, GA, Marekani sio wamiliki wa viwanda hivyo. Wamiliki wa viwanda hivyo ni wadau ambao wamelipia leseni kwa Coca Cola Company kutengeneza na kusambaza soda za Coca Cola.
Coca Cola Company huwaita Bottling Partners. Wapo zaidi ya 200 duniani na wanamiliki viwanda zaidi ya 950 duniani kote.
Coca Cola Company wanafanyaje nao biashara? U.S Coca Cola HQ wao huwapa kwanza leseni ya trade mark kutumia nembo (brand) ya Coca Cola halafu Coca Cola Co, wanawauzia tu
Concetrates Beverage bases Syrups
Kwa hiyo jukumu la
Kutengeneza Packaging Kutangaza Kusambaza kwa wateja zaidi ya bilion 2 kwa siku duniani kote Linabaki kwa Bottling Partners hapa tunazungumzia akina Coca Cola kwanza, Bonite Bottlers na wengine duniani. Kwa hiyo Coca Cola Company hawamiliki, hawa-manage wala ku-control bottling companies.
Hayo ni mambo ambayo Coca Cola Company iliyo na makao makuu Marekani hayawaumizi kichwa na wamesave billions of money.
Ni mchezo rahisi sana ambao hata bilionea Warren Buffet ambaye pia ni mwanahisa kwenye kampuni hiyo aliwahi kumwambia Bill Gates:
"Even a ham sandwich could run Coca-Cola"
–Warren Buffet
Jinsi Coca Cola wanapiga pesa kwa kuuza syrup kwa bottling partners hii inaitwa The Syrup Secret:Concentrate cost: $2.50
-Water & packaging (bottler pays) = Final product: $10+
Coca-Cola margin: 80%+
Bottler margin: 15%
FUN FACT: Coca-Cola sells 2.1 billion drinks every day.
Yet they:
Don't make the drinks
Don't own the factories
Don't handle distribution
Don't even bottle them
Present in 200+ countries
$46B annual revenue
Still worth >$280B.
Wakati makampuni mengi makubwa duniani yakitumia mabilioni ya pesa ili kuwafikia wateja wao worldwide, upande wa Coca Cola wamedominate global distribution without owning anything. They own the 'brand name' and the 'syrup secret'
Ilikuwa zamani, Usha soma kisa cha Kule Urusi baada ya kuanza Vita Ukrinr na kampuni za Wazungu kuondoka Urusi ikiwemo Cocacola? Warusi wanazalisha hizo soda taste ni hio hio utofauti ni majina tu.They own the 'brand name' and the 'syrup secret'
,Umesema vyema hapo ndipo mafanikio ya Coca Cola yalipo
Ni myth tu story za vijiwe vya kahawa, ingredients zote zinajulikana,Umesema vyema hapo ndipo mafanikio ya Coca Cola yalipni
Kama KFC na McDonald'sMfumo wa Franchaisee upo pia kwenye migahawa na biashara zingine.
Ya bottling partnersMfumo wa Franachise hauko kwa cocacola pekee, rudi tena kasome, Cocacola hawamilik Magari yapi? yale ya Nyanza Bottle au Bonite ni ya kwenu?
Ulitaka zisijulikane?,
Ni myth tu story za vijiwe vya kahawa, ingredients zote zinajulikana,
Kaitaja mkuu!Umesahau Nyanza Botling ya Mwanza
Rejea Post #7Kaitaja mkuu!
sio hisa zote alizonunua zilifanya vizuriBilionea Warren Buffet na kampuni yake ya Berkishire Hathaway atabaki kuwa miongoni mwa wanahisa bora zaidi kutokea duniani anajua wapi pa kuwekeza ambako hakuna risk.
"Nobody buys a farm based on whether they think it's going to rain next year. They buy it because they think it's a good investment over 10 or 20 years."
—Warren Buffet