1. Kwanini soda za pepsi na cocacola kule Majuu Yani Ulaya (sijajua kama ni nchi zote) eti ladha yake ni tofauti na za kwetu hapa bongo
2. Kwanini pia iPhone za hapa Bongo eti pia ni tofauti na za majuu ( kwao eti hazina sehemu ya kuwekea Lainiš²)
3. Pia tekno za kwetu ni tofauti na za kwao,
NB: Nipeni majibu mimi ata sijui
2. Kwanini pia iPhone za hapa Bongo eti pia ni tofauti na za majuu ( kwao eti hazina sehemu ya kuwekea Lainiš²)
3. Pia tekno za kwetu ni tofauti na za kwao,
NB: Nipeni majibu mimi ata sijui