Cocochanel interview prep!

Usisahau kumuuliza cocochanel kama bashite ni kaka yake mkuu!
 
Tumeshakuchoka na wewe

[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]


[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Me naomba unisaidie kumuuliza maswali haya 3.
1-Amewahi kuugua ugonjwa wowote wa akili ktk maisha yake!?.

2-Jinsi yake hasa ni ipi! Ni KE au ME!??

3-Je! Ktk maisha yake amewahi kufanya jambo gani la kutumia akili nyingi liwe la kijamii au kifamilia na likafanikiwa(ataje jambo hilo) na km halikufanikiwa kwa nini!??

Ni hayo tu ntarudi kwa maswali ya nyongeza..!!
 
Nakumbuka huyu bwana mdogo alivyoanzishaga Interviews zake wabongo mlikuwa mnamponda sana kama anatafuta kiki.
Lakini leo ubunifu wake ndiyo unafanya ChitChat iwe moto moto mnataka kujimilikisha kipindi chake: Haiwezekani.

Hahahahaha
 
Pamoja mkuu point sana umeronga
 
Huyu dem hafai interview uuuuwwiii uuuuwwiii uuuuwwiii Uuuuuuuwwiiii hafai hafai hafai namjua vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…