Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Me naomba majibu mafupi sana. Maswali ni haya:

1-Umewahi kuugua ugonjwa wowote wa akili ktk maisha yako!??

2-Umewahi kufanya jambo gani la kutumia akili liwe la kijamii au kifamilia(litaje jambo lenyewe) na lilifanikiwa!? Km halikufanikiwa kwa nn!??

3-Ukiacha matumizi ya I'd fake,unaweza kuniambia jinsia yako kwa uhakika,wewe ni ME/KE!??

4-Elimu uliyotaja uliyonayo umesema ni ya chuo na umesema ni tecnolojia,ni tecnolojia gani hiyo,ukinijibu ntarudi kukuuliza swali la fani uliyosoma ili kuthibitisha elimu yako. Kwa unavyoonyesha hujakanyaga hata ordinary level. Samahani lkn. Ntarudi...
 
Huyu ni Mzuri Mie

Nilimchunguza muda mrefu nikaja kumgundua baadaye.

Akaja kunifuata PM akidai yeye sio mzuri mie sasa ubaya zaidi majibu aliyoyatoa yalidhihirisha kuwa yeye kweli ni Mzuri Mie.

Ingekuwa Mods hawakatazi kuweka mazungumzo ya PM jukwaani ningeweka kama ushahidi.
Lisemwalo lipo"!anyway naona amekataa ID yake ya zamani[emoji5]
 
Back
Top Bottom