Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Napenda kumshukuru Mola kwa malezi niliyopewa katika kufundishwa mengi pia ya maishani na kuaminiwa na wazazi kuwa akili tulibarikiwa wote.. ni furaha sana kwangu.
Hii kitu nataka sana niipitishe kwa wanangu na kuhakikisha wao na cousins wao nao wanakuja kuacha mengi mazuri.
Hapa mfano mmoja ni sisi kuwa na marafiki wa kifamilia na kuheshimiana nao hadi leo hii kuishi vizuri katika shida na raha.. na wengine kwenye jamii na kutokuwa na maringo yotote ukibarikiwa au lolote kuishi vizuri na watu ambao huwezi kuona tofauti yangu kwao labda ujue. Na kuwaachia ya kuweza kujimudu mwenyewe kimaisha na kutokuwa mvivu na kujiamini kuanzia kwenye masomo, kikazi, kutokuwa na tamaa, kujali kujijengea jina kikazi na kibiashara bila kupitia mikato isiyo na maana na yakukushusha.

Bila kusahau kushindana na wanaume kwenye masomo kutafuta maksi za juu.. ha ha haaaaa niliwapa umiza vichwa.. kujiamini na kutokuogopa mtu huku ukiwa na heshima pia.
Natamani nikuelewe ila nimechemka...
 
Mkuu, humu kuna watu wanawachukia kabisa(with passion) watu wengine kisa tu itikadi zao kisiasa zipo tofauti.
Labda elimu yao inawafundisha lazima wote tufikiri sawa, yaani ni dhambi,jinai kuwa tofauti.
 
Nakuona upo bize kutetea tumbo safi sana
Nitetee tumbo mtandaoni? Im open minded sio kama nyinyi. Mnategemea kila mtu afikiri kama nyinyi bila kujua background za watu. Hii ni chit chat chuki zenu za siasani ziache kulekule.

Sasa nazidi kumuelewa aliesema stress zenu za maisha mnakuja kuzitoa kwa members fulani, kwa uncle magu na RC!
 
huyu dada yetu ni mwenyeji wa mkoa/kanda ipi?



kuna post alijibu amebase kwenye teknolojia hebu tufafanulie hapa teknolojia gani?



je ikatokea akapata nafasi yoyote ya kutoa kauli ambayo itabadilisha maisha ya watu je kauli gani ataitoa?
 
Nitetee tumbo mtandaoni? Im open minded sio kama nyinyi. Mnategemea kila mtu afikiri kama nyinyi bila kujua background za watu. Hii ni chit chat chuki zenu za siasani ziache kulekule.

Sasa nazidi kumuelewa aliesema stress zenu za maisha mnakuja kuzitoa kwa members fulani, kwa uncle magu na RC!
mmh
 
Nitetee tumbo mtandaoni? Im open minded sio kama nyinyi. Mnategemea kila mtu afikiri kama nyinyi bila kujua background za watu. Hii ni chit chat chuki zenu za siasani ziache kulekule.

Sasa nazidi kumuelewa aliesema stress zenu za maisha mnakuja kuzitoa kwa members fulani, kwa uncle magu na RC!
Kama unaijua ni chit chat hapa umekuja kulia lia ili iweje?
 
Kama unaijua ni chit chat hapa umekuja kulia lia ili iweje?
Unarukaruka kama pop corn, mara natetea tumbo, sasa hivi unaropoka nalialia! Nimewambia chuki zenu za kwenye siasa ziacheni huko hapa ni chitchat ! Btw I did not quote u why bother?
 
Ha ha ha haaaa
Najifurahia kwa kuwajua.. maneno mengi mwanzoni ulifikiri sifahamu zako eeeeeeh

Sasa umejionyesha na yako ya siasa
Na nilijua ni hayo... Lumumba nenda wewe kuomba kazi naona unatamani sana
Coco umeolewa ww?
 
Back
Top Bottom