Natamani nikuelewe ila nimechemka...Napenda kumshukuru Mola kwa malezi niliyopewa katika kufundishwa mengi pia ya maishani na kuaminiwa na wazazi kuwa akili tulibarikiwa wote.. ni furaha sana kwangu.
Hii kitu nataka sana niipitishe kwa wanangu na kuhakikisha wao na cousins wao nao wanakuja kuacha mengi mazuri.
Hapa mfano mmoja ni sisi kuwa na marafiki wa kifamilia na kuheshimiana nao hadi leo hii kuishi vizuri katika shida na raha.. na wengine kwenye jamii na kutokuwa na maringo yotote ukibarikiwa au lolote kuishi vizuri na watu ambao huwezi kuona tofauti yangu kwao labda ujue. Na kuwaachia ya kuweza kujimudu mwenyewe kimaisha na kutokuwa mvivu na kujiamini kuanzia kwenye masomo, kikazi, kutokuwa na tamaa, kujali kujijengea jina kikazi na kibiashara bila kupitia mikato isiyo na maana na yakukushusha.
Bila kusahau kushindana na wanaume kwenye masomo kutafuta maksi za juu.. ha ha haaaaa niliwapa umiza vichwa.. kujiamini na kutokuogopa mtu huku ukiwa na heshima pia.
Labda elimu yao inawafundisha lazima wote tufikiri sawa, yaani ni dhambi,jinai kuwa tofauti.Mkuu, humu kuna watu wanawachukia kabisa(with passion) watu wengine kisa tu itikadi zao kisiasa zipo tofauti.
Nitetee tumbo mtandaoni? Im open minded sio kama nyinyi. Mnategemea kila mtu afikiri kama nyinyi bila kujua background za watu. Hii ni chit chat chuki zenu za siasani ziache kulekule.Nakuona upo bize kutetea tumbo safi sana
sawa kaka mkubwa nitaufanyia kazi ushauri wakoUuh, mkuu siasa zisikulemaze akili.
mmhNitetee tumbo mtandaoni? Im open minded sio kama nyinyi. Mnategemea kila mtu afikiri kama nyinyi bila kujua background za watu. Hii ni chit chat chuki zenu za siasani ziache kulekule.
Sasa nazidi kumuelewa aliesema stress zenu za maisha mnakuja kuzitoa kwa members fulani, kwa uncle magu na RC!
Rudia kusoma ulichoandikaUnakazania.. ukisoma majibu kwa DJ Sepetu hautanisumbua na kulalamika juu ta jinsia na masomo. Rudi katasome.
Kama unaijua ni chit chat hapa umekuja kulia lia ili iweje?Nitetee tumbo mtandaoni? Im open minded sio kama nyinyi. Mnategemea kila mtu afikiri kama nyinyi bila kujua background za watu. Hii ni chit chat chuki zenu za siasani ziache kulekule.
Sasa nazidi kumuelewa aliesema stress zenu za maisha mnakuja kuzitoa kwa members fulani, kwa uncle magu na RC!
Rudia kusoma ulichoandika
Katasome ni neno la lugha gani?Katasome mwenyewe.
Unarukaruka kama pop corn, mara natetea tumbo, sasa hivi unaropoka nalialia! Nimewambia chuki zenu za kwenye siasa ziacheni huko hapa ni chitchat ! Btw I did not quote u why bother?Kama unaijua ni chit chat hapa umekuja kulia lia ili iweje?
Coco umeolewa ww?Ha ha ha haaaa
Najifurahia kwa kuwajua.. maneno mengi mwanzoni ulifikiri sifahamu zako eeeeeeh
Sasa umejionyesha na yako ya siasa
Na nilijua ni hayo... Lumumba nenda wewe kuomba kazi naona unatamani sana
Natamani nikuelewe ila nimechemka...
Kumbe hata wewe umechemka?? Nlidhani mi kilaza...sijajua shida ipo wapi !au alikuwa bwax