Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Asee itanichukua karne nzima kuamini huyu mtu amehitimu chuo, utafikiri mtoto anajifunza kuandika yaani Hata dogo wa darasa la nne st kayumba hawezi type hizi kande mseto.
Huyo labda amehitimu choo
 
Asee itanichukua karne nzima kuamini huyu mtu amehitimu chuo, utafikiri mtoto anajifunza kuandika yaani Hata dogo wa darasa la nne st kayumba hawezi type hizi kande mseto.


mie pia
 
Unarukaruka kama pop corn, mara natetea tumbo, sasa hivi unaropoka nalialia! Nimewambia chuki zenu za kwenye siasa ziacheni huko hapa ni chitchat ! Btw I did not quote u why bother?
Ona anavyolia lia huyu dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…