DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
- Thread starter
- #101
Poa!Tatu kati ya nilizonazo ni
- Nina nyota ya kupendwa na watu na wengine pia uonionea wivu na ninabahati ya kuwatambua haraka
- Mcheshi sana huwezi kuboreka ukiwa nami labda niamue kuuchuna. Nikiwa mahala lazima niache watu kunikumbuka kwa mazuri na kwa lolote lililojiri.
- Najiamini kwenye mengi na pia nikitaka iwe/kiwe namshukuru Mungu naonaga inakuwa.
7.katika kufanya mradi ama biashara nn hukuongoza kupata watu sahihi Wa kujenga teamwork?
Vingezo vipi huangalia!