Step_Rocker
Senior Member
- Aug 31, 2021
- 197
- 323
- Thread starter
-
- #41
Safari yetu ni ndefu sanaHivi kwanini kwa tanzania ukisema coding au programming mtu anawaza IT tu?
Kuna tatizo moja naliona kwa tanzania, ni kuhusu embedded system programming.
Unaweza kukuta mtu ni programmer kabisa ila hawezi kuandika program akaweka kwenye microprocessor ifanye kazi fulani,hii naiona ni tatizo kubwa.
Programmers wengi ni IT tu,nje ya hapo hajui chochote.
Nadhani tupanue ulingo zaidi,ni ajabu kukuta programmer haijui hata arduino ambayo ni basic kabisa.
Nimewahi kuonana na mtu mmoja anacheza na kuandika program za arduino balaa,anasema amejifundisha mwenyewe,jamaa anawazidi mbali sana hata waalimu wa programming huko vyuoni.
Yup ni pseudocodePseudocode hizo zina-act kama ramani kwa unakotaka kufika then inakuja real programming, finally fun part fixing bugs
Huenda wana changanya kufahamu engineering ni kitu gani haswaSiku hizi kila mtu anajiita software engineer, bila ufahamu vigezo vipi unapaswa kuwa navyo, unakuta hawezi andika hata kurasa moja ya SDD document, yeye kazi kupandisha framework kama Yii/django n.k. basi.
Ukimuuliza nini maana ya SOLID anahisi kama labda unaongea lugha nyingine.
Tatizo ulikua na vibe sio niaIvi unaweza kujifunza online na ukawa guru na inachukua mda gani coz mm najaribu mara nyingi ila sifiki mbali mfano
Nishawai download course kama zote udemy,youtube nikainstall Android studio,VS, na mambo yote ila Naishia kuviangalia tu
Mbona mm sioni watu wanaozililia hizi field hapa Bongo. Najua wordpress ila haijaniingizia hata Mia.