COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Nimekua nikijaribu kutafuta details ndogo ndogo kujaribu kuja na hitimisho langu kuwa kweli Mungu yupo.

Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu ni hili la Coincidence.

Kutokana na kukosa maana sahihi ya neno coincidence nitatumia neno lingine linalofanana kwa maana na hili, ili kuweza kuwapa kuelewa kusudio la bandiko hili.

Neno coincidence linalandana kwa maana na neno, accident, luck , fate.

Accident = Ajali, luck = bahati , fate = majaliwa.

Matokeo ya hayo niliyoyataja hapo juu ni kutokana na nguvu za ziada zilizo nje ya uwezo wa mwanadamu.

Mfano; AJALI;

Umeamka asubuhi unachukua gari yako kufika barabarani unagonga mtu anakufa!

Kama ungekuua na uwezo wa kugundua kama siku hiyo ungegonga mtu akafa, ungeweza kuchukua maamuzi sahihi ili ajali hiyo isitikee, lakini kwakua jambo hilo lipo nje ya uwezo wako huwezi kulizuia au kuliahirisha.

Bahati:

Imetokea ajali wakafa abiria wengine lakini kwa "bahati" wewe pekee ndie uliyepona. mazingira ya ajali yanaonesha kwamba ilistahili abiria wote wasiwe hai lakini kwa ajabu la wengi wewe pekee umepona. Tunaita hiyo ni "bahati"

Majaliwa;

Unapangilia kuwa daktari lakini , jitihada zako zote hazipelekei wewe kuwa daktari na badala yake unaishia kua mwanasheria. hapa uanasheria unaonekana kua ndio yalikua majaliwa yako, na udaktari ulikua unalazimisha tu.

Tukiangalia tafsiri ya neno majaliwa au fate katika lugha ya kingereza mtu ataona kwamba ili majaliwa yawepo basi kuna kuwa na nguvu za ziada zinazopelekea hayo kuwepo, tuangalie;

FATE:


(i) The supposed force, principle, or power that predetermines events:

(ii) The inevitable events predestined by this force

(iii) A final result or consequence; an outcome.



(iv) An unfavorable outcome in life.

Uchanganuzi huo unaonesha kwamba neno MAJALIWA au fate, ni zao la nguvu zinazotabiri matukio.

Nguvu hizo ni zipi?? Nguvu hizo zinatoka wapi?? nguvu hizo zinazuilika??

Mfano: je unaweza tambua siku yako ya kufa?? je unajua nani anayechukua roho yako?? je unaweza zuia kifo?? Hilo ni jambo gumu kidogo, tujaribu mfano mwepesi kidogo.

Je umeshiriki kwa asilimia ngapi katika kutengeneza matukio katika maisha yako, au kuyazuia au hata kuweza kuyabadilisha??

Jibu ni hakuna.

Kwa hiyo kama kwa kiasi kikubwa hukuweza kuzuia mengi ya matukio katika maisha yako au kuyabadili, hapo tunapata jibu kwamba lazima kutakua na nguvu ya ziada iliyopelekea jambo hilo kutokea.

Sayansi haibishi kwamba hakuna nguvu bila kuwa na chanzo hizo, hakuna ubishi kwamba nguvu zinzzopelekea kutokea kwa hayo mambo zina chanzo chake.

Kuna weza tokea ubishi wa hicho chanzo cha hizo nguvu, lakini kwa imani yangu naamini kwamba chanzo cha nguvu hizo ni MUNGU.

Kufupisha maelezo, jambo lililopelekea mimi kuandika mada hii ndefu, ni hili dogo tu.

" kuna jirani yangu ninaishi nae mtaa mmoja, tunakuja nyumbani nyakati tofauti, tunalala nyakati tofauti, na tunaamka nyakati tofauti, lakini kila asubuhi lazima tukutane barabarani muda ule ule"

Hii ina maanisha nini??

Kama tunatofautiana muda wa kurudi nyumbani, muda wa kulala, muda wa kuamka, inakuwaje lazima kila siku muda ule ule tukutane barabarani??

Is this fate?? accident?? Luck?? au tunapanga tukutane muda huo???

I rest my case with a conclusion kwamba , Mungu yupo na yeye ndie hupanga maisha yetu. Our life is planned hata kabla hatujazaliwa.
 
hahhaa, kwa hiyo kukutana wewe na jirani yako kukutana barabarani kunathibitishaje uwapo wa mungu? hilo bichwa lako linashindwa hata kutafakari na kutafiti ni kwa nini mnatoka muda mmoja kuelekea kwenye mihangaiko yenu? halafu nilivyokuwa naandika hii reply nimejamba, lazima mungu atakuwepo.:lol:
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.

is fate a predetermined event or not??
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.

Kwani hadi leo hujapata jibu la swali lako hili.

CC Eiyer
 
Last edited by a moderator:
is fate a predetermined event or not??

Either way, it points to the nonexistence of at least the Judeo Christian godhead.

If it is predetermined, then god lacks justice. Because he punishes and rewards people for a fate he sets out himself for them.

If it is not predetermined, then gods knowledge is not perfect since for fate not to be predetermined it is necessary that he does not know what we will do.

Either way, this god is a hoax.
 
1. Mungu aliumba watu wawili bustani ya edeni

2. Walikuwa hawajui jema na baya

3. Akawaacha waishi na nyoka anayeongea mwenye uwezo wa kudanganya

4. Akawawekea mti wa mtego ili wakila awalaani

5. Badaye watu wakaongezaka na kutenda ambayo hayataki

6. Akawa drown wote kasoro familia moja na wanyama tu ambao aliagiza wakusanywe kutoka dunia nzima.

7. Akalichagua kabila moja randomly na kulipa exclusive right ya kuua watu wengine.

8. Badaye akaja mwenyewe kufa msalabani ili awaokoe watu.

9. Ameahidi kuwachoma moto milele wale wasiomkubali.

lakini usisahau huyo ni Mungu wa upendo na anakupenda sana.
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.
Kwani hadi leo hujapata jibu la swali lako hili.

CC Eiyer

Kwanza unapohoji Mungu mwenye uwezo wote aumbe dunia ambayo baadhi ya mambo yasuwezekane huko ni kujikinza labda huyo mungu awe hawezi yote

Lakini pia,huko hayo yanayowezekanakutokea ni ushahidi wa upendo wake mkuu kwasababu ameumba ulimwengu ambao yoyote akitaka chochote anapata,lakini pia tusisahau pia kumpatia kila mmoja wetu kile ambacho anakihitaji ni upendo pia

Wakati Mungu amemaliza kumuumba binadamu kwenye uimwengu ambao kila kitu kwa maaya ya mema na mabaya yanawezekana alimuambia binadamu huyo fauda na madhara ya uchaguzi wake kwani atakachochagua kuna malipo ambayo ni stahili au ni haki yake ya msingi na tukumbuke kuwa moja kati ya kanuni za upendo ni kumpatia kila mmoja wetu kile ambacho anakitaka,hivyo kuchagua nako ni matokeo ya upendo na hata kuwepo kwa uchaguzi nako ni matokeo ya upendo

Mamlaka ya mabaya kuwepo [sio kuwezekana] yalikuwa mikononi mwa binadamu kwani yeye ndie alikuwa mwamuzi na mamlaka hayo alipewa na Mungu,lakini kabla hajachagua aliambiwa madhara ya uchaguzi huo,lakini bado aliamua kuchagua kile ambacho kina madhara kwake na ndio maokeo ya mabaya tunayoyaona leo

Mungu aliamua kumpa mwanadamu hayo kwasababu ndio aliyochagua hivyo kuzuia kumpa kile alichopkuwa anakitaka sio upendo,lakini kama nilivyosema mwanzo angemuweka kwenye dunia ambayo kuna mambo hayawezekani ungekuwa sio upendo

Baada ya hayo bado Mungu aliamua kutafuta namna ya kumrudisha huyu binadamu kwenye mema na ndio alipoamua kuja mwenyewe na kumueleza mwanadamu kile ambacho anapaswa kufanya

Kwa upande wa shetani nako ni hivyo hivyo,Mungu alimpatia kile alichokitaka kwasababu anampenda na sio kinyume chake,kuasi ni uchaguzi wake mwenyewe lakini adhabu nayo ni stahiki yake kwasababu alikosea,kwa maana hiyo bado Mungu anaonekana ana upendo mkuu zaidi!
 
Eiyer

Huyo mungu si kwamba hawezi yote.

Hayupo.

Kwa sababu ni contradiction. Anajipinga kuwapo yeye mwenyewe kabla sijampinga.
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.

Mungu mwenyewe ni Sheria, na nje ya sheria hakuna kilichofanyika(hakuna uumbaji), na kwa sheria kila kitu kitasimama, otherwise the law will act accordingly.

Hakuna Upendo wote wala Uwezo wote, unaosimama nje ya sheria. Mungu ni Sheria, na kwa Sheria ulimwengu ulifanyika, na kwa Sheria ulimwengu utaishi.
Anaita sasa!
 
Either way, it points to the nonexistence of at least the Judeo Christian godhead.

If it is predetermined, then god lacks justice. Because he punishes and rewards people for a fate he sets out himself for them.

If it is not predetermined, then gods knowledge is not perfect since for fate not to be predetermined it is necessary that he does not know what we will do.

Either way, this god is a hoax.

If you want to draw a line on a clean sheet of paper, you will definitely know where to start and end, that is how the creator predetermined our existence. He knew exactly what shall be of us.

Put God in the shoes of the drawer and you in the shoes of the line, now if the line was short does it have the right to claim otherwise??

Now if you say that, by the line being short that is not justice?? is it not justice for the drawer to make a line as he pleases.

Or take an example of a potter, who molds clay to make shapes, is it fair criticizing a potter of a shape that was mold according to his will?? or can a pot claims to be molded otherwise??

I think it will be naive for one to make a shape that he does not know exactly what shall it be of, if you shall stand by your statement that, God lacks knowledge as the result of predetermining events.
 
Mungu mwenyewe ni Sheria, na nje ya sheria hakuna kilichofanyika(hakuna uumbaji), na kwa sheria kila kitu kitasimama, otherwise the law will act accordingly.

Hakuna Upendo wote wala Uwezo wote, unaosimama nje ya sheria. Mungu ni Sheria, na kwa Sheria ulimwengu ulifanyika, na kwa Sheria ulimwengu utaishi.
Anaita sasa!

Sheria ni limitation.

Inakuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote awe characterized kama limitation?
 
If you want to draw a line on a clean sheet of paper, you will definitely know where to start and end, that is how the creator predetermined our existence. He knew exactly what shall be of us.

Put God in the shoes of the drawer and you in the shoes of the line, now if the line was short does it have the right to claim otherwise??

Now if you say that, by the line being short that is not justice?? is it not justice for the drawer to make a line as he pleases.

Or take an example of a potter, who molds clay to make shapes, is it fair criticizing a potter of a shape that was mold according to his will?? or can a pot claims to be molded otherwise??

I think it will be naive for one to make a shape that he does not know exactly what shall it be of, if you shall stand by your statement that, God lacks knowledge as the result of predetermining events.

You have not even proved that god exists, yet you give him all sorts of fancy characteristics.
 
You have not even proved that god exists, yet you give him all sorts of fancy characteristics.

apart from merely dreaming that he does not exist, by just saying that he does not because one says that he does and you don't approve his proof, does not make one the fact that he does not exist.

You might rely on this general rule on the burden of proof that " one who alleges must prove"

But every general rule has exceptions;

Come to this one,

" I SAY GOD EXIST" its a general rule, and you say " GOD DOES NOT EXIST" and i have given proof in my content that he does, yet you don't approve that.

It seems that you have proof that, he does not exist,

One among the exception to the general rule, shifts the burden of proof to the one who has specific knowledge of the alleged facts, because you have proof that he does not exist , why don't you come out and give us your proof??

Another exception to to the general rule of the burden of proof, shifts the burden to the person who alleges that there is no relationship as alleged.

I have come up with a situation which proves that there is a relationship between the creator and the creature, but you disprove of that content.

Now it is your burden to prove otherwise.

I shall await.
 
Back
Top Bottom