Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you have not as well prove that he dose not,
Mimi naamini Mungu yupo,ila si kwa hoja dhaifu kama hizo za eti fate!!the planned event is out of fate,is God planned that coinsidence? Then its no longer coincidence,but a planned event,
Eti kukutana na mtu munayeamka naye mtaa mmoja,kwa wakati mmoja,munaelekea sehemu moja,na munapita njia moja wewe ndiyo ume specify kama proof ya Gods existence?kama ni hivyo basi Mungu ningeshamuona kwa macho,if the criterion was as that cheap.
Can you prove that anything that does not exist does not exist?
You have alleged so , the burden of proving is on your shoulders!!,
evidence of absence is absolutely possible, evidence of absence can be regarded as any kind that suggest something is missing or that it does not exist!! for example " A baker fails to put finished pies on her windowsill, so if there is no pie on the windowsill, then no pie exits!!
1. You have not proved that god exists.
2. You have not proved that there is a qay to prove that thatvwhich does not exist, does not exist.
3. I am not entirely sure you understand my argument. Or even that you have the capacity and requisite preparation to understand.
4. You don't even understand the difference between evidence and proof.
1. can you prove without evidence??
2. If i have failed to prove that God does not exist as you assume, why don't you come up with evidence to support your claim that God does not exist??
3. I am now convinced that, your belief of God's non existence has very much to do with your ability of understanding his existence.
prove he does not exist
Ndio maana tunasema yeye ni Mwanzo na Mwisho! Pia, tambua kuwa huo upendo na ujuzi wote, usingekuwepo ila tu kwa sheria(ukomo), bila sheria hakuna kilichofanyika!Sheria ni limitation.
Inakuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote awe characterized kama limitation?
Ndio maana tunasema yeye ni Mwanzo na Mwisho! Pia, tambua kuwa huo upendo na ujuzi wote, usingekuwepo ila tu kwa sheria(ukomo), bila sheria hakuna kilichofanyika!
Anaita sasa!