COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Barry Dauda Jr

Akili za kushindwa kuniwezesha na kung'amua uwepo wa Mungu? Sikia mimi sitafuti Sifa wala Kitu Kingine bali ki sayansi jambo ambalo mtu unalotaka kuwafahamisha walimwengu ni lazima liwe na Ushahidi...!

na sio ule wa Hearsay nimeambiwa watu wameona watu wametokewa na blah blah nyingi ndio maana Dini sio leo au jana tu pengine hadi kesho uwepo wa Mungu utaendelea kuwa moja ya Changamoto kuu kuhusu uwepo wake...

Maana hata Kwa Waislam no one aliyemuona Allah... kwa Wayahudi vile vile japo yasemekana Enock kwa wakristo na wayahudi na kwa waislam wanamuita Idris yasemekana Mungu alikuwa anashuka Duniani na Kutembea nae hapa duniani

japo sijaelewa kisa haswa kuwa alikuwa akisikia sauti yake huku akitembea tembea au Mungu akishuka kabisa wakiwasiliana kama Adam alivyokuwa na Muumba wake...

wewe kama ni Muislam unaaminishwa kuwa Allah ni mungu? si ndio na huku Allah akisema Hakuna Mungu ila Allah pekee yaani Maandishi ya Allah yakisema na kusisitiza kuwa Allah si Mungu na Mungu Hayupo... wewe akili gani unayotumia kwa kusema Mungu Yupo? au tusiwaamini waislam kwa maneno ya huyo Allah! nijibu please na kama ukishindwa Omba usaidizi.. hata kwa Sheikh yeyote umuaminiye...

Katika Bibia maandiko ya Nabii Musa yameandika kuwa Mwanzo kulikuwa na neno na huyo neno ndie Mungu na sehemu zingine Mungu anajiita Alpha na Omega yaani yeye ni Mwanzo na Yeye ni Mwisho...

sasa katika dunia hii last time tokea aongee ni miaka mingi vitabu vimeandika ndio maana kila mjanja mwenye uwezo wa ku brainwash watu huja kivyake na wengine huamini na hajawahi tokea Mmojawapo ambaye akaaminiwa na Dunia nzima...

imani zinasema Yesu ndie anayetarajiwa kurejea Tena.. wakrito na Waislam huamini sawa sawa ila Wayahudi wanaamini tofauti kuwa Yesu ajaye ni Mpya kabisa na sio yule wa Mama Mariam Mume wa Yusuph.... Masiyah

Ukienda kuchambua Dini karibu zote utakuta watu wapo wrong kuliko maelezo... na mwisho unaweza ona ni upuuzi na utakuta maisha yako yamesimama...

Waingereza,wengi na Wamarekani wengi zaidi ni wamoja washagundua siku nyingi sana na wengi hawaamini kuwa Mungu yupo wanasema Enjoy Life tu there's probably no God


godbus1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Acheni kujadili kwa akili za kawaida. biblia inasema mungu ni nani? Na quran inasema mungu ni nani. nje ya hapo mtakuwa mnajikanyaga tu!
 
1. Mungu aliumba watu wawili bustani ya edeni

7. Akalichagua kabila moja randomly na kulipa exclusive right ya kuua watu wengine.
8. Badaye akaja mwenyewe kufa msalabani ili awaokoe watu.
9. Ameahidi kuwachoma moto milele wale wasiomkubali.

lakini usisahau huyo ni Mungu wa upendo na anakupenda sana.

namba 8 sijaipenda kabisa sijui kwanini

.made in mby city.
 
dadavua mkuu uhusiano wa mkono wa mtu na hili bandiko,

"MAISHA YETU HUPANGWA NA MUNGU HATA KABLA HATUJAZALIWA".......umemalizia hivyo!

Hapo ndipo mimi kichwa huwa kinauma. Kwamba mtu ni "muasherati", hapendi hali hiyo. Anajitahidi sana kuachana nayo, but where! (i.e Lakini wapi!!!!!!- #swanglish hiyo).

Mwisho anajipa moyo kuwa,aah! potelea mbali bwana. Mungu aliniumba na alijua "kutoka kwangu na kuondoka kwangu". Alijua nitakuwa hivi,hata nifanyeje,siwezi nikapinga ukweli huo.

Will he/she be Right?
**NISAIDIE**
 
JingalaFalsafa hujanijibu.

Mungu ana ukomo?

Mungu ndio ukomo wa mwanzo na mwisho. Yeye mwenyewe ndio ukomo! So, ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe! Ndio maana tunasema, hawezi kujikiuka!
Anaita sasa!
 
Last edited by a moderator:
Mungu ndio ukomo wa mwanzo na mwisho. Yeye mwenyewe ndio ukomo! So, ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe! Ndio maana tunasema, hawezi kujikiuka!
Anaita sasa!

Mungu wako si universal.

Kwa sababu ana ukomo.
 
Huyu mungu wenu alikusudia nn kuumba ma-tirion ya sayari ambayo hayana viumbe wanaoishi na tena mengine ni makubwa kuliko dunia?????????????
 
Mlaleo

Mkuu kwanza siamini kama itakua rahisi kukuhakikishia kua mungu yupo kwa kua debate hii haijaanza leo, ni makarne kibao ubishi umebaki duniani ni kila wakati unachukua sura nyingine kupitia kinachoitwa revolution ya human race ktk mambo ya civilization,

kuna wajuaji wakubwa walikuwapo hapo mwanzo na mbaya walikua na ushaidi wa kimiujiza ya moja kwa moja lqkini bado walichomoa,

source:vitabu vya dini..
Kwa ali hii siwez shangaa kyona akina nyinyi mkibisha coz you are still on the same road to ignorance about God's existence.

Mimi kwa ufupi nakushauri usifikiri ndani ya mabano au box, Mungu wetu hawezi kua mjinga kiasi kwamba hawez kujidhihirisha mbele yetu na tukawa tuna muona e'day but ameamua kutuweka ndani ya box of thinking na watakao weza kwenda beyond this box of thoughts ndio atakae kua amefaulu ktk kumjua na atakua ame acimplish mission yake ktk hii puzzle ya maisha hapa duniani na huko aendako.

And to go beyond the box kuna njia tumepewa through holly books kwa zama zetu, vitabu hivyo vinaitaji umakini na wala havisomwi kama gazeti la sani otherwise hutovielewa na utaebdelea kuviona kama urembo tu.

Mwisho naomba nishaur wale wanaohitaji ushahidi wa uwepo wa mungu waangalie just mambo ya kawaida tu na wala wasicomplecate..
Mf:ebu chukulia nani anavontral maisha ya viumbe kuanzia kuzaliwa mpaka kukua na mwisho kufa?

Kama kweli hakuna mungu, ebu jaribu kubadili mifumo iloyopo ya maisha eg, badala ya kula mkate chukua jiwe ule, baada ya kutembea kwa miguu paa angani, baada kuishi nchi kavu nenda kaishi katikati ya kina cha bahari kama samaki..

Kama hayo yote huwezi kuyapa maamuzi na there is the so called science that can help you change things and live the easiest life basi uje there is some one that He who contrals thing to their nature and not science, kwa maana science ipo pale kuprove namna gani vitu vinaobey hiyo nguvu ya mungu.

Unadhani kwanini mungu hakuumba kila kitu kikawa sawa, mfano woote tukawa nyoka tu, au panya tu, basi ujue ndani yake lazima kuwe na ujumbe kwa wenye akili,

Pia all these discrepancies in creation were inevitable kwa sababu ya kutafuta equilibrium of life to created creatures, kwahyo si kweli kwamba mungu ni bias ktk uumbaji.
 
Last edited by a moderator:
Wanzuki

Mkuu wewe unaelewa vp neno Imani?
 
Last edited by a moderator:
Nilichogundua ni kwamba kuna tatizo la watu kutokujui maana ya neno imani,yani ukisema mungu yupo yeye anaona hiyo ndiyo imani, ila kusema hakuna mungu anaona siyo imani. Na unampompa hoja za uwepo wa mungu pia anaona ni hoja za kiimani imani tu.

Lakini ajabu unapomuomba yeye akueleze kwanini anasema hakuna mungu naye anaanza kutoa hoja za kiimani kuthibitisha kutokuwepo kwa mungu,wakati huo ameshazikataa hoja za uwepo wa mungu kwa kusema ni za kiimani imani tu. Yote haya ni kushindwa kuelewa neno imani linamaana gani.

Haiwezekani ukatae hoja za uwepo kwa mungu kwa kuziona zimekaa kiimani tu hazina uhalisia, halafu et uje utupe hoja yako kutokuwepo kwa Mungu kwa kusema et "Kama Mungu anauwezo wote na upendo wote kwanini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana,kwanini asingeumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?"

Sasa kweli kwa hoja kama hiyo ndiyo unafikiri itamfanya mtu aache kuamini kuwepo kwa Mungu na kusema hakuna mungu kwa hoja kama hiyo ambayo nayo pia ni imani vilevile tu? Na sio hiyo tu hoja zote za kupinga uwepo wa mungu ni za kiimani.

Tatizo watu wamejiingiza ktk imani wasizozielewa,halafu wanasema kwamba wao wanauhuru wa mawazo!!
 
Mungu wako si universal.

Kwa sababu ana ukomo.

Ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe, Mungu hawezi kutenda Upumbavu, Mungu hawezi fanya tu ila for good/logical reasons. Nilishawahi kukuambia kuwa na Ujuzi wote, kuwa universal hakumaanishi kuwa Mungu anaweza kutenda kila kitu hata upumbavu, NO.

Ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe, kwani nje ya Umungu ni Upumbavu, na hiyo ndio breki ya Mungu, hakika hilo hawezi.

Ujuzi na Upendo wote viko subjected to huo Ukomo/Sheria. Kusingekuwa na Upendo wala Ujuzi wote ila tu kwa uwepo wa Sheria. Na kwazo Ulimwengu ulifanyika.
Anaita sasa!
 
Ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe, Mungu hawezi kutenda Upumbavu, Mungu hawezi fanya tu ila for good/logical reasons. Nilishawahi kukuambia kuwa na Ujuzi wote, kuwa universal hakumaanishi kuwa Mungu anaweza kutenda kila kitu hata upumbavu, NO.

Ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe, kwani nje ya Umungu ni Upumbavu, na hiyo ndio breki ya Mungu, hakika hilo hawezi.

Ujuzi na Upendo wote viko subjected to huo Ukomo/Sheria. Kusingekuwa na Upendo wala Ujuzi wote ila tu kwa uwepo wa Sheria. Na kwazo Ulimwengu ulifanyika.
Anaita sasa!

Umejuaje kwamba mungu yupo na ukomo wake ninyeye mungu mwenyewe nhe ya speculations zisizo na mantiki?

Unahitaji kuwa mungu ili kujua ukomo wa mungu ni nini. Wewe mwanadamu ambaye hujawahi kuwa mungu umejuaje ukomo wa mungu?

Na mungu mwenye ukomo ana tofauti gani na kiumbe mwenye akili ya kutuzidi tu lakini asiyejua na kuweza yote?

Ukishasema mungu ana ukomo ushakubali kwamba uwezo na ujuzi wake una mwisho.
 
Umejuaje kwamba mungu yupo na ukomo wake ninyeye mungu mwenyewe nhe ya speculations zisizo na mantiki?

Unahitaji kuwa mungu ili kujua ukomo wa mungu ni nini. Wewe mwanadamu ambaye hujawahi kuwa mungu umejuaje ukomo wa mungu?

Na mungu mwenye ukomo ana tofauti gani na kiumbe mwenye akili ya kutuzidi tu lakini asiyejua na kuweza yote?

Ukishasema mungu ana ukomo ushakubali kwamba uwezo na ujuzi wake una mwisho.

Huku ni kutapatapa tu Mkuu wangu, je nami nahitaji kuwa raisi ili nijue uraisi ni nini? Je, nahitaji kuwa mashine ili nijue mashine ni nini?
Uwepo wa Mungu si wa kinadharia tu, unahalisika pia.

Madai ya kuwa uwezo wa Mungu na ujuzi wake una ukomo, ni hoja mufilisi kwani nimeshakuambia Mungu HANA UWEZO WA KUTENDA UPUMBAVU, HAWEZI KABISA!

Hivi unanielewa ninapokuambia kuwa Kusingekuwa na Omnibenevolence, Omnipresence, Omniscience wala Omnipotence kama kusingekuwa na Law? Ujuzi wote na Upendo wote ni just creatures like you and me as well as a dog! Hakuna mahali utaukuta Upendo wala Ujuzi wote, ila tu kwa uwepo wa Sheria.

Nimesema ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe, usichoelewa kipi?
Anaita sasa!
 
Huku ni kutapatapa tu Mkuu wangu, je nami nahitaji kuwa raisi ili nijue uraisi ni nini? Je, nahitaji kuwa mashine ili nijue mashine ni nini?
Uwepo wa Mungu si wa kinadharia tu, unahalisika pia.

Madai ya kuwa uwezo wa Mungu na ujuzi wake una ukomo, ni hoja mufilisi kwani nimeshakuambia Mungu HANA UWEZO WA KUTENDA UPUMBAVU, HAWEZI KABISA!

Hivi unanielewa ninapokuambia kuwa Kusingekuwa na Omnibenevolence, Omnipresence, Omniscience wala Omnipotence kama kusingekuwa na Law? Ujuzi wote na Upendo wote ni just creatures like you and me as well as a dog! Hakuna mahali utaukuta Upendo wala Ujuzi wote, ila tu kwa uwepo wa Sheria.

Nimesema ukomo wa Mungu ni Mungu mwenyewe, usichoelewa kipi?
Anaita sasa!

Unayatumia haya maneno yanayoanza na omni, omnibenevolence, omnipresence, omniscience na omnipotence hata unaelewa maana ya hiyo omni ni nini?

Katika omnipresense, ukomo wa mungu wako ni nini?

Mwenye uwezo wote, upendo wote, ujuzi wote na uwepo pote hahitaji sheria. Kuhitaji chochote ni kuonyesha hana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote na uwepo pote.
 
In diabolical non theism world, humans are just chemical animals and have no morals. For a God Hater to say there is no God without evidence is proof enough that non theists can not seriously engage in evidence but dismiss God due to their inability to support their notions.
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?

Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.
So you agree that He is there, but you comprehend not why He is not doing what you like. Weird God Hater.

Well that would be an unjustified claim - unless they prove God has no sufficient basis to permit evil.
 
Mungu wako si universal.

Kwa sababu ana ukomo.

God doesn't begin. The Universe began,

If you are too lame to get the crystal clear logic, that's your fault - not mine.
 
Usipoteze hoja kwa maswali aina hii.
Unayatumia haya maneno yanayoanza na omni, omnibenevolence, omnipresence, omniscience na omnipotence hata unaelewa maana ya hiyo omni ni nini?

Katika omnipresense, ukomo wa mungu wako ni nini?

Mwenye uwezo wote, upendo wote, ujuzi wote na uwepo pote hahitaji sheria. Kuhitaji chochote ni kuonyesha hana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote na uwepo pote.

Hivi kweli huwa unasoma ninachoandika?

Nimesema hapa zaidi ya mara nyingi kuwa, MUNGU MWENYEWE NI SHERIA, NA UKOMO WA MUNGU NI MUNGU MWENYEWE, utaniulizaje ukomo wa Mungu eti katika uwepo popote! Nimeandika kuwa Mungu anajihitaji yeye mwenyewe, haya maswali yako yanatoka wapi? Mbona unauliza nisichosema mimi?

Ninarudia tena, hizo 4 omnis ni viumbe kama mimi na wewe au mbwa! Nje ya Uumbaji/Ulimwengu huwezi kuhoji juu ya hizo omnis! But I can see God even before the creation, NATURE!
Anaita sasa!
 
So you agree that He is there, but you comprehend not why He is not doing what you like. Weird God Hater.

Well that would be an unjustified claim - unless they prove God has no sufficient basis to permit evil.

Huyu nilishawahi kumwambia kuwa, anachokataa ni Ukuu wa Mungu ila rio Uwepo wa Mungu. Anakubali uwepo wa Chanzo cha Ulimwengu, ila hicho chanzo mimi nikikiita Mungu anang'aka, na hoja ohoooh mbona mmesema yeye ni 4 omnis. Huyu anapaswa kukiri kwanza uwepo wa Mungu, tumfundishe Ukuu wake!

Hoja zake ni sawa na anayedai kuwa, Mungu yupo ila hana Upendo wala Ujuzi wote. Sifa kuu ya kwanza ya Mungu he is the Creator, awe ameumba vizuri au vibaya, anabaki kuwa Creator!
Anaita sasa!
 
Back
Top Bottom