COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Kwa uelewa mdogo unaweza kutambua Mungu yupo.....jiulize swali gumu na ukishindwa kupata majibu basi hayo ndiyo majibu kuwa Mungu yupo. Mfano: hivi kwanini nife? na ninakufaje? kwani siwezi kuzuia kufa?.....Mungu

Mwingine aweza kusema mbona nikiugua ndiyo nakufa....siyo wote waliougua wamekufa, na nisipougua sifi au nisipopata ajali sifi.....hapana hata aliyelala alikufa
 
1. Mungu aliumba watu wawili bustani ya edeni

2. Walikuwa hawajui jema na baya

3. Akawaacha waishi na nyoka anayeongea mwenye uwezo wa kudanganya

4. Akawawekea mti wa mtego ili wakila awalaani

5. Badaye watu wakaongezaka na kutenda ambayo hayataki

6. Akawa drown wote kasoro familia moja na wanyama tu ambao aliagiza wakusanywe kutoka dunia nzima.

7. Akalichagua kabila moja randomly na kulipa exclusive right ya kuua watu wengine.

8. Badaye akaja mwenyewe kufa msalabani ili awaokoe watu.

9. Ameahidi kuwachoma moto milele wale wasiomkubali.

lakini usisahau huyo ni Mungu wa upendo na anakupenda sana.
kwa hiyo mungu ameshakufa...?
 
MUNGU hajafa msakabani bali YESU ambae ni mwnae mpendwa ndo alikufa msalabani,,, nakushauri soma bible sana ujue nani alikufa msalabani.

Pia, jaribu kutafuta tofauti ya MUNGU na YESU ili usiwe unawachanganya make wana utofauti mkubwa sana.
 
MUNGU hajafa msakabani bali YESU ambae ni mwnae mpendwa ndo alikufa msalabani,,, nakushauri soma bible sana ujue nani alikufa msalabani.

Pia, jaribu kutafuta tofauti ya MUNGU na YESU ili usiwe unawachanganya make wana utofauti mkubwa sana.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Kwa uelewa mdogo unaweza kutambua Mungu yupo.....jiulize swali gumu na ukishindwa kupata majibu basi hayo ndiyo majibu kuwa Mungu yupo. Mfano: hivi kwanini nife? na ninakufaje? kwani siwezi kuzuia kufa?.....Mungu

Mwingine aweza kusema mbona nikiugua ndiyo nakufa....siyo wote waliougua wamekufa, na nisipougua sifi au nisipopata ajali sifi.....hapana hata aliyelala alikufa

Bora umeaema kwa uelewa mdogo. Uelewa wako ni mdogo hivyo unaona uhusiano sehemu ambayo haina uhusiano.

Hapo ulichosema ni aawa na kusema "Kwa uelewa mdogo square root ya mbili ni infinity, jiulize swali gumu kihesabu ukishindwa kujibu jibu ni infinity".

Hupati jibu kwa kusema tu kwamba ukikosa jibu jibu ni mungu.

Kabla ya Waafrika kuelewa redio inafanya vipi kazi, hawakujua sauti inatokaje kwenye redio.

Hili kwao lilikuwa ni swali gumu. Jibu lake, kwa mujibu wa fikra zako, lingekuwa kwamba kwenye redio kuna mungu anaongea.

Kwa fikra kama hizo zako ndoyo maana Waafrika tukawaita wazungu wazungu.

Mzungu na mungu zina mzizi mmoja etimologically. Ukiondoa z katika mzungu unapata mungu.

Kama vile mzungu asivyo mungu, huyo anayedaiwa kuwa mungu hayupo.

Ni matokeo ya uvivu wa kufilkria tu na kuendekeza mawazo ya zamani.
 
Nilichogundua humu watu wanaishi kwa mashaka kwa kutokuamini Mungu, sasa wanapoona haya majanga duniani ndiyo huwachanganya.

Na kweli lazima uishi kwa mashaka na uchanganyikiwe kabisa, maana ni sawa na kujikuta umezinduka ktk jumba halafu ukawa hutaki kujishughlisha kujua umeletwa na nani ktk hilo jumba na kwa sababu gani. Halafu kila ukisogea kidogo unakuta maiti na mafuvu ya watu.
Kwa hali hiyo lazima uchanganyikiwe

Anayeishi kwa kuamini kitu ambacho hawezi kukithibitisha, kitu ambacho hakina logical consistency, kitu kilicho sadistic, kitu chenye total control, kitu ambacho ukilosea kidogo tu kitakuchoma moto milele na milele, na asiyeamini katika kitu hicho, nani anaishi kwa mashaka?
 
Uwezo wa MUNGU upo juu ya ufahamu wa binadamu , na hauchunguziki
 
Mkuu mfano leo hii ukisikia labda mtu ambaye aliyekuwa akiua watu nae leo ameuliwa. Je,unaweza kuhukumu hao watu waliyomuua kwa kusema hao waliyomuua huyo mtu muuwaji kuwa hawana upendo? Au utawapongeza kwa kitendo chao hicho?
Sitawapongeza kwa sababu wamejichukulia sheria mkononi.
 
nijothemaster;

Nikikuuliza kwa nini mungu kafanya hivi na si vile, ukijibu ni maamuzi yake, hujajibu swali na wala hujalielewa.

Swali langu si kafanya hivyo kwa maamuzi ya nani. Mnasema kaumba kwa maamuzi yake, hilo sijaliboji.

Ninachouliza ni, kwa nini kafanya hivyo?

Kama unamuelewa mungu utajua sababu zake na kiweza kunielezea.

Ukiahindwa kujielezea sababu zake humuelewi.

Na kama unamkubali mungu usiyemuelewa, una uwezekano mkubwa sana wa kimkubali mungu ambaye hayupo.

kiranga, sababu yaye kuumba ulimwengu huu na sababu aliyotaka tuijue na tuitambua...ni kwasababu yy anataka kiumbe alichokiumba kimuabudu,na kimtegemee yy peke yake na sio kitu kingine...

ukiachiliambali mabaya yaliyopo, mwenyezi MUNGU,aliua(waisrael) alio waokoa yy mwenyewe kule jangwani..ili pia unapaswa uhoji kiranga kama ana upendo kwann aliwaua watu wake......ukifanya uchunguzi utagundua unarudi palepale ilijina lake liabudiwe na kutukuzwa(hakupenda lawama zao kule jangwani nakumuamrisha awqfanyie vile wanavotaka)

aliwapeleka wamisri utumwani na akawaokoa tena...ili pia unapaswa uhoji kiranga kwann anafanya mambo kimakusudi kamaanaupendo kwann asiwaache tu waishi kimpango wao kwa raha zao....ukichunguza hili pia utagundua ni sababu jina lake liabudiwe na litukuzwe...

leo hii karuhusu majambazi,magaidi,vimbunga,tsunami,magonjwa,taabu shida viwepo duniani...ili pia unapaswa uhoji kiranga kama kweli anauwezo na upendo kwann aruhusu haya yote yatokee kwann asiyazuwie yatoweke hapa duniani au asinge yaumba kabisa akamwacha binadamu aishi kimpango wake kwa rahaa zake....ukichunguza utaona sababu ni ileile ilikusudi jina lake liabudiwe na litukuzwe,..nilazima akuweke kwenye hofu ili umuabudu na utambue kua yy ndo muumba wako.....

BADO SIJAJIBU SWALI LAKO LA SABABU YA MABAYA HAYA DUNIANI......ngoja niendelee kidogo hapa

kiranga waweza kusema ukiacha hayo yote..kwanini basi aliamua kutuumba na mabaya haya wakati hata angeweza tu kuumba dunia nzuri hata uwezo wakumkataza nyoka yule asimdanganye binadamu...

hapo sasa ndipo unapo enda beyond ya uwezo wake unaanza sasa kumfikiria wakati pale anaamua hiki kiwehivi hiki kiwe hivi kwann tu asifanye kingekua hivi kingekua hivi....hiki ndo kitu ambacho hapendi MUNGU wangu naameangamiza wengi na ataangamiza wengi kwaajili ya hii dhambi...

yani nisawa nakujifanya kua ww ungekuwa na uwezo ungetengeneza bonge moja la dunia lenye rahaa tele na bata za kutosha.....

hicho nikitu ambacho hatukijui sababu iliyo mfanya aumbe binadamu mwenye miguu miwili,binadamu mwenye tumbo,binadamu hasiye na mabawa,binadamu mwenye ubongo,dunia ya duara,mwanga kutoka kwenye jua,mawe,mchanga,miti....hivi ni vitu ambavyo hatujui kwann viwe hivo na si kwa style nyingine....kwann kuna sayar zingine empty kwann....nivituambavyo hatujui sababu yake...

lkn kwakutojua sababu hizo haimaanishi,simuelewi MUNGU, kwani nimeweza kukuelezea sababu zile juu kabisa kulingana na imani....siamini kama ww unazijua sababu hizo za mwisho hapo...lkn je ulikua unazijua sababu za mwanzo kabisa hapo juu?....

SASA UNAANZA KUELEWA UELEWA WAKO UKO VIPI..SITEGEMEI SWALI TENA LA SABABU YA MABAYA......UTHIBITISHO KAMA KWELI YUPO NILISHA UELEZEA SANA...LKN NAVYO VINAENDANA NA ZILE SABABU........

ahsante.....
 
Last edited by a moderator:
Anayeishi kwa kuamini kitu ambacho hawezi kukithibitisha, kitu ambacho hakina logical consistency, kitu kilicho sadistic, kitu chenye total control, kitu ambacho ukilosea kidogo tu kitakuchoma moto milele na milele, na asiyeamini katika kitu hicho, nani anaishi kwa mashaka?

ambaye hana mashaka ni ww,..unaombea mabaya yasiwepo,vimbunga visikukute,tsunami hisikuadhibu,magonjwa yasikupate...ambaye hana mashaka ni ww unayeogopa kufa......ambaye hana mashaka ni ww unayeogopa wachawi......
 
Bora umeaema kwa uelewa mdogo. Uelewa wako ni mdogo hivyo unaona uhusiano sehemu ambayo haina uhusiano.

Hapo ulichosema ni aawa na kusema "Kwa uelewa mdogo square root ya mbili ni infinity, jiulize swali gumu kihesabu ukishindwa kujibu jibu ni infinity".

Hupati jibu kwa kusema tu kwamba ukikosa jibu jibu ni mungu.

Kabla ya Waafrika kuelewa redio inafanya vipi kazi, hawakujua sauti inatokaje kwenye redio.

Hili kwao lilikuwa ni swali gumu. Jibu lake, kwa mujibu wa fikra zako, lingekuwa kwamba kwenye redio kuna mungu anaongea.

Kwa fikra kama hizo zako ndoyo maana Waafrika tukawaita wazungu wazungu.

Mzungu na mungu zina mzizi mmoja etimologically. Ukiondoa z katika mzungu unapata mungu.

Kama vile mzungu asivyo mungu, huyo anayedaiwa kuwa mungu hayupo.

Ni matokeo ya uvivu wa kufilkria tu na kuendekeza mawazo ya zamani.

ndiyo sisi tunauelewa mdogo.....tungekua tunauwezo wakubet tunge bet kabla hatuja ondoka duniani kiranga uwe umekamilisha research yako yakua MUNGU hayupo japo kwa karatasi tano tu za ushahidi........kamailivo kwa muafrika kuijua redio ni nini miaka ya sikuizi....
 
Wewe hapo ulipo tayari huna uhuru wa kurudi nyuma katika muda.

Kama mungu anapenda uhuru kweli na hataki maroboti, kwa nini hatuns uwezo wa kurudi nyuma katika muda?

sio hicho tu kwann hatuna uhuru wakumtembelea alipo...kwann hatuna uhuru wakuingia sayar yoyote tuipendayo....ulikua unesahau hivo pia........hiyo sio hoja kama unamuelewa MUNGU utajua ni kwasababu gani....
 
sio hicho tu kwann hatuna uhuru wakumtembelea alipo...kwann hatuna uhuru wakuingia sayar yoyote tuipendayo....ulikua unesahau hivo pia........hiyo sio hoja kama unamuelewa MUNGU utajua ni kwasababu gani....

Hujaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo.
 
ndiyo sisi tunauelewa mdogo.....tungekua tunauwezo wakubet tunge bet kabla hatuja ondoka duniani kiranga uwe umekamilisha research yako yakua MUNGU hayupo japo kwa karatasi tano tu za ushahidi........kamailivo kwa muafrika kuijua redio ni nini miaka ya sikuizi....

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
 
ambaye hana mashaka ni ww,..unaombea mabaya yasiwepo,vimbunga visikukute,tsunami hisikuadhibu,magonjwa yasikupate...ambaye hana mashaka ni ww unayeogopa kufa......ambaye hana mashaka ni ww unayeogopa wachawi......

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujajibu kwa nini mungu mwenye uwezo wote, unuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na kila uwezo wa kuumba ulimqengu ambao mabaya hayawezekani.
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujajibu kwa nini mungu mwenye uwezo wote, unuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na kila uwezo wa kuumba ulimqengu ambao mabaya hayawezekani.

Unamasikio lkn hausikii unamacho lkn hauoni....low iq low thinking capacity....huwezi kuelewi ndo uwezo wako umeishia hapo......
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Je,mfano angeumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ndiyo ingekuwaje?
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

unamasikioa lkn husikii unamacho lkn huoni.....lugha yetu huelewi mkuu.....hauelewi......uwezo wako ndo umeishia hapo mkuu..........swali lako jepesi na lishajibiwa mara mianane....ni ww tu huelewi jichunguze vzur.....
 
unamasikioa lkn husikii unamacho lkn huoni.....lugha yetu huelewi mkuu.....hauelewi......uwezo wako ndo umeishia hapo mkuu..........swali lako jepesi na lishajibiwa mara mianane....ni ww tu huelewi jichunguze vzur.....
Hahahahaaa......

Mkuu,nilijua tu mtafikia huku,jamaa anapenda ligi balaa,hana haja ya kujifunza na kuelewa yeye yupo hapa kupinga tu

Ukimjibu anarudia kitu kile kile

Shy land njoo ushuhudie jamaa yako mpenda ligi huku
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo mungu ameshakufa...?

Tulifundishwa kanisani kuwa Yesu ni sehemu ya utatu mtakatifu ni Mungu mwana john 1:18 hivyo aliamua kuacha enzi na utukfu kuja kuokoa watu wake nazani umenipata mkuu.
 
Back
Top Bottom