COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Baada ya kukamilisha uumbaji wake Mungu alimpa mwanadam Akili ili aweze kuchagua namna gani ataishi bila kumtenda Bwana makosa,ndo mana hata ukiangalia chanzo cha Mungu kuruhusu mabaya juu yetu ilikua ni mwanadam kumuasi yeye yaani kutotii maagizo aliopewa na Mungu!!

Swami language halihusu baadaya kumaliza uumbaji.

Linahusu wakati mungu anaanza kuuumba ulimwengu.

Na kama mungu ndiye aliyempa mtu akili, na akili hiyo ikawa haitoshi kushinda vishawishi kiasi cha kumfanya mtu kumuasi mungu, mungu muweza yote hastahii lawama kwa kumoa mwanadamu akili ambayo imeshindwa na vishawishi?

Halafu mtoto mchanga anayekufa kwenye tetemeko la ardhi, moja ya mabaya ninayoyazungumziau , amefanya maasi gani?
 
Endapo kila jambo lingekua jema...je ungetambua umuhimu wa jambo hilo?...je endapo watu wangekua hawaumwi (au kufa),ungetambua umuhimu wa maisha?.ungetambua uumbaji wa mungu? Ungetambua na kushangazwa na namna mwili wako unavyofanya kazi?...bila matetemeko,ungeona wapi milima mizuri?,ungeona wapi mabonde?
Em fikiria kama KILA KITU kingekua chema,dunia ingekuaje..nisingetaka kuishi humo!

Kwa nini kutambua wema ni jambo muhimu muhimu kutopatwa na mabaya?

Nikikwambia niikate mikono yako miwili, na hili litakuwa jambo zuri sana, kwa sababu litakufanya utambue umuhimu wa mikono yako , utanipa mikono yako miwili niikate na kunishukuru kwa kukupa jinsi ya kutambua umuhimu wa mikono yako?
 
Wewe ninmgeni sana katika mijadala hii ndio maana hata maswali unayouliza yameulizwa sana humu mwaka 2013 na ndo mana Kiranga anakupa majibu papo kwa papo maana anajua kabisa nini utauliza baadae.

..Karibu katika ulimwengu huru kijana..

Mtu anakupa jibu basic kuna "mungu kampa binadamu akili ya kujua mema na mabaya", jibu ambalo tumelichambua na kuonesha mapungufu yake kibao hapa.
 
Last edited by a moderator:
Jinni umekwepa
unaniuliza tafsiri ya udakuzi.usinitoe kwenye hoja Nimekwambia tangia mwanzo unithibitishie UDAKUZI WA MMAREKANI KWENYE SIMU YA A.MARKEL.

Lakini tafsiri ya neno udakuzi limetokana na neno daka.

Tafsiri ya udakuzi inaweza ikawa pana laki kwa kifupi ni kunasa mawasiliano au kuvunja code au password na kuchokua inbox data kwa njia ya kimtandao.

Nimeuliza nimekwepa vipi?

Nilishwahi kukwambia naamini katika majini?

Kukuuliza tafsiri ya udakuzi ni kukutoa vipi kwenye hoja wakati wewe ndiye uliyeleta hili neno?

Kwa nini nikuthibitishie udakuzi wa Mmarekani Kwenye simu ya Merkel?

Nilishawahi kukwambia hii habari?
 
Mtu anakupa jibu basic kuna "mungu kampa binadamu akili ya kujua mema na mabaya", jibu ambalo tumelichambua na kuonesha mapungufu yake kibao hapa.

Maana yake Tz mbongo kama Tz
mbongo nitaendelea kuwepo ila
haiwezekani nikawa na sifa hizo kwa pamoja??
 
Maana yake Tz mbongo kama Tz
mbongo nitaendelea kuwepo ila
haiwezekani nikawa na sifa hizo kwa pamoja??

Kwanza kabisa Tz mbongo mwenye sifa hizo kwa pamoja atakuwa hayupo, tukubaliane hilo kwanza.
 
Kwanza kabisa Tz mbongo mwenye sifa hizo kwa pamoja atakuwa hayupo, tukubaliane hilo kwanza.

"kitu kimoja kuwa na mielekeo miwili tofauti" hiyo ndiyo tafsiri uliyotoa. Na maana yake hapo haijalishi hicho kitu ni Tz mbongo au Kiranga. Sasa uking'ang'ania lazima kusema Tz mbongo mwenye sifa hizo hayupo inakuwa kama kuna nafasi ya Kiranga au Juma kuwa na hizo sifa zote kwa pamoja.
Kwahiyo kinachoangaliwa hapa ni hizo sifa,haijalishi ni mtu gani anazungumziwa.

Tupo pamoja hapo?
 
Swami language halihusu baadaya kumaliza uumbaji.

Linahusu wakati mungu anaanza kuuumba ulimwengu.

Na kama mungu ndiye aliyempa mtu akili, na akili hiyo ikawa haitoshi kushinda vishawishi kiasi cha kumfanya mtu kumuasi mungu, mungu muweza yote hastahii lawama kwa kumoa mwanadamu akili ambayo imeshindwa na vishawishi?

Halafu mtoto mchanga anayekufa kwenye tetemeko la ardhi, moja ya mabaya ninayoyazungumziau , amefanya maasi gani?


Mbona unalazimisha Mambo? Hivi ukipewa Nguvu ya kubeba Ndoo ya Maji kupeleka bafuni kuoga, Halafu kwa Uzembe wako ukaamua kutopeleka Ndoo bafuni, as a result ukashindwa Kuoga, Utamlaumu vipi aliekupa hizo Nguvu? Au Utalaumu kwann kuoga kulikuwepo? Ama vipi?

Uwezo wa kuyashinda tumepewa. Chimbuko la Uovu ni maasi. Hii ndivyo ilivyo. Kama huna Imani na haya ni sawa, Laki. Usitupotezee muda kukuelewesha jambo ulokwisha likataa.

You are a Product of a Certain Knowledge you got, Learnt or taught. And same are we.
 
Kwa nini kutambua wema ni jambo muhimu muhimu kutopatwa na mabaya?

Nikikwambia niikate mikono yako miwili, na hili litakuwa jambo zuri sana, kwa sababu litakufanya utambue umuhimu wa mikono yako , utanipa mikono yako miwili niikate na kunishukuru kwa kukupa jinsi ya kutambua umuhimu wa mikono yako?

Exactly,unanielewa!!...sawa sawa,infact huo mfano unaotoa ndio kitu kinachotokea kila siku ktk mazingira yetu na tunajifunza kutokana na mazingira hayo!..
Sasa tuna elewa umuhimu wa macho kwa kuangalia mtu asiye-nayo...tunatambua umuhimu wa mikono wa kuangalia asiye nayo,na jinsi gani mazingira yanavyompa ugumu,na ktk hilo ndio Imani inaanza kuonekana (na mungu anajidhihirisha),kwamba zipo sababu za msingi zinazofanya tutambue vitu tulivyo navyo,kwamba havijatokea kwa bahati nasibu ila kuna mpango..
Em imagine kama hiyo mikono ukiikata,inaota tena...watu wasingejua "maana"..tungekua tunachukulia kila kitu "for granted"...imagine Pia kila kitu unachotaka ukisema unapata,maisha yangekuaje?...vikwazo lazima,ili utukufu uweze kuonekana.
 
Exactly,unanielewa!!...sawa sawa,infact huo mfano unaotoa ndio kitu kinachotokea kila siku ktk mazingira yetu na tunajifunza kutokana na mazingira hayo!..
Sasa tuna elewa umuhimu wa macho kwa kuangalia mtu asiye-nayo...tunatambua umuhimu wa mikono wa kuangalia asiye nayo,na jinsi gani mazingira yanavyompa ugumu,na ktk hilo ndio Imani inaanza kuonekana (na mungu anajidhihirisha),kwamba zipo sababu za msingi zinazofanya tutambue vitu tulivyo navyo,kwamba havijatokea kwa bahati nasibu ila kuna mpango..
Em imagine kama hiyo mikono ukiikata,inaota tena...watu wasingejua "maana"..tungekua tunachukulia kila kitu "for granted"...imagine Pia kila kitu unachotaka ukisema unapata,maisha yangekuaje?...vikwazo lazima,ili utukufu uweze kuonekana.

Hujajibu swali langu, unarukaruka kwa excitement tu.

Nina panga hapa, umekaa pembeni, nakwambia weka mikono yako juu ya meza niikate ili upate nafasi ya kujua umuhimu wa mikono.

Utaweka mikono mezani niikate na kunishukuru kwa kukupa nafasi ya kujifunza umuhimu wa mikono?
 
Hujajibu swali langu, unarukaruka kwa excitement tu.

Nina panga hapa, umekaa oembeni, nakwambia weka mikono yako juu ya meza niilate ili upate nafasi ya kujua umuhimu wa mikono.

Utaweka mikono mezani niikate na kunishukuru kwa kukupa nafasi ya kujifunza umuhimu wa mikono?

That doesn't make sense..umuhimu wa mikono tayari unajulikana Pia la kutokua na mikono linajulikana.Kwa maendeleo ya binadamu wa Sasa haya mambo tayari yanajulikana,Sasa kwa nini nikate tena mikono yangu?...lakini huwezi kufananisha hili na matukio makubwa kama tetemeko la Ardhi,ambapo sisi kama binadamu tunajua kiasi kidogo tu cha kwa nini huwa yanatokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu,istoshe hata hayo tunayoyajua tumefahamu kupitia matokeo yake baada ya miaka mingi kupita...
Kwani,unafikiri elimu ya viumbe hai yote ilifanyika kwa nadharia??...hakuna watu waliokatwa viungo vyao kujua nini kinaendelea ndani ya mwili?...
Bado hoja ipo pale pale,huo wema na ubaya ni nadharia tu ya mwanadamu ktk kujiweka juu ya kila kitu,lakini utakapotoka nje ya nadharia hiyo,wema na ubaya are natural forces,zipo na umuhimu wake na zinategemeana.
Hata nadharia inayotumika kuhoji mungu kwa nini karuhusu mabaya,inaangalia binadamu tu..not a big picture
 
That doesn't make sense..umuhimu wa mikono tayari unajulikana Pia la kutokua na mikono linajulikana.Kwa maendeleo ya binadamu wa Sasa haya mambo tayari yanajulikana,Sasa kwa nini nikate tena mikono yangu?...lakini huwezi kufananisha hili na matukio makubwa kama tetemeko la Ardhi,ambapo sisi kama binadamu tunajua kiasi kidogo tu cha kwa nini huwa yanatokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu,istoshe hata hayo tunayoyajua tumefahamu kupitia matokeo yake baada ya miaka mingi kupita...
Kwani,unafikiri elimu ya viumbe hai yote ilifanyika kwa nadharia??...hakuna watu waliokatwa viungo vyao kujua nini kinaendelea ndani ya mwili?...
Bado hoja ipo pale pale,huo wema na ubaya ni nadharia tu ya mwanadamu ktk kujiweka juu ya kila kitu,lakini utakapotoka nje ya nadharia hiyo,wema na ubaya are natural forces,zipo na umuhimu wake na zinategemeana.

Unasema umuhimu wa mikono tayari unajulikana.

Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao una binadamu ambao umuhimu wa mazuri tayari wanaujua kama wewe unavyosema "umuhimu wa mikono tayari unajulikana"?
 
Unasema umuhimu wa mikono tayari unajulikana.

Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao una binadamu ambao umuhimu wa mazuri tayari wanaujua kama wewe unavyosema "umuhimu wa mikono tayari unajulikana"?
inaonekana Kiranga hujanielewa toka mwanzo..ninachosema ni kwamba suala la "ubaya" au "wema" ni nadharia....ubaya wa kitu,au wema wa kitu unakua defined na mazingira yake,so hata ukisema kwamba Mungu angeweza kuumba kila kitu na uzuri tu,huna uhakika kama Mungu hakufanya hivyo!.
Wewe unaweza kuona mtu mmoja kumuua mtu mwingine ni dhambi(au kosa) lakini si kweli katika mazingira mengine..mbona hushangai simba akimuua simba mwenzie?? kwani huo ni ubaya au wema??...

Kifupi,unaweza kuthibitisha kama Mungu aliumba "wema" tu??...au mungu aliumba wema na ubaya??
 
inaonekana Kiranga hujanielewa toka mwanzo..ninachosema ni kwamba suala la "ubaya" au "wema" ni nadharia....ubaya wa kitu,au wema wa kitu unakua defined na mazingira yake,so hata ukisema kwamba Mungu angeweza kuumba kila kitu na uzuri tu,huna uhakika kama Mungu hakufanya hivyo!.
Wewe unaweza kuona mtu mmoja kumuua mtu mwingine ni dhambi(au kosa) lakini si kweli katika mazingira mengine..mbona hushangai simba akimuua simba mwenzie?? kwani huo ni ubaya au wema??...

Kifupi,unaweza kuthibitisha kama Mungu aliumba "wema" tu??...au mungu aliumba wema na ubaya??

Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hakuna anayeona ubaya?

Ukiniambia ubaya ni nadharia, nikikushikia kisu nikutumbue utumbo mpaka ufe utakubali na kusema ubaya ni nadharia?

Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hakuna ubaya kwa yeyote?
 
Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hakuna anayeona ubaya?

Ukiniambia ubaya ni nadharia, nikikushikia kisu nikutumbue utumbo mpaka ufe utakubali na kusema ubaya ni nadharia?

Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hakuna ubaya kwa yeyote?

Kwani dunia ingekuwa hakuna ubaya kwani ndiyo ingekuwaje?
 
Kwani dunia ingekuwa hakuna ubaya kwani ndiyo ingekuwaje?

Kijana inaonekana huelewi hata kinachoendelea hapa.Kiufupi nikusadie tu kwamba Mungu(kama yupo),shetani (kama yupo) na dunia vyote vinategemeana.Bila mungu hakuna shetani na bila shetani hakuna mungu,lakini pia shetani na mungu wote wanaoparate duniani.

Ni sawa na mechi ya mpira wa miguu,simba(mungu) na yanga(shetani) na dunia ni uwanja wa taifa ambapo mechi inachezewa,Kwa hiyo bila simba(mungu) basi yanga(shetani) haweI kucheza mechi mwenyewe,so kila upande unamtegenea mwenzie.

Kwa hiyo bila shetani hakuna mungu lakini pia bila mungu hakuna shetani lakini vyote vinategemea uwanja(dunia).

Unachotakiwa kujua tu ni kwamba mungu na shetani ni IDEA tu za wanadamu katika kutenganisha mema na mabaya lakini kadri siku zinavyosonga inappteza maana na tunaona tunaweza kusihi bila hizi nadhalia ambazo zimekuwa kama ungojwa katika fikra za mwanadamu kwa karne nyingi sasa.
Nadharia hizo (mungu&shetani)zimetumika kutimiza matakwa ya watu wengi kwa kudanganya watu kwba kuna kitu/vitu sijui vinaitwa mungu na shetani.

Lakini lazima ujue pia kwamba Dunia bila idea ya mungu na shetani inawezekana.

Karibu katika ulimwengu huru.....
 
Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hakuna anayeona ubaya?

Ukiniambia ubaya ni nadharia, nikikushikia kisu nikutumbue utumbo mpaka ufe utakubali na kusema ubaya ni nadharia?

Mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hakuna ubaya kwa yeyote?

Bado hujajibu swali langu...(kama unaamini uwepo wa mungu) Je unaweza kunithibitishia kama mungu aliumba dunia yenye " mema na mabaya" tu?...au aliumba "ubaya" tu?...au "wema" tu?...au huamini uwepo wa mungu?
Naomba nijue msimamo wako ktk hili ndio niendelee kujibu swali lako vizuri.Kwa sababu,kila mfano wa huo " ubaya" unaouona wewe,unaona kwa wanadamu tu!..ilihali unajua kabisa kwamba kuna mamilioni ya viumbe hai nao wapo ktk dunia hii hii wakijaribu kuishi.
Suala la kuchukulia huyo MUNGU ni wa binadamu tu,to me that's a big LIE!.
 
Back
Top Bottom