Tuseme na ule ukweli mchungu Askari wetu hawakuwa walinda amani bali walikwenda kupigana na Waasi na kwenye Vita ni ua nikuue.
..tangu Kagame ameingia madarakani ameishazozana Raisi, na kuua askari, wa kila nchi jirani na Rwanda.
..huenda matatizo na migogoro katika eneo la maziwa makuu chanzo chake ni Rais Kagame.