Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Miaka zaidi ya 500 imewafanya kuwa ndugu tu...... kinachowatofautisha ni asili tu na muonekano.Watutsi ni watu wa ethiopia huko,wahutu wabantu,leo msukuma,mluguru na mmafia kuongea kiswahili hakuwafanyi kuwa kabila moja
Anyway....hili suala ni debatable....