Collabo ya Papa Wemba ft Diamond

Collabo ya Papa Wemba ft Diamond

Jamaa hajadondoka toka juu mpaka chini, amecollapse... Ni heart failure i think.

Ingeweza tokea hata akiwa usingizini.... So acha kulalamika.
I thought differently, then tunawekana sawa acha kutoa povu... It cost u nothing to correct.
 
Yes, more celebrities ARE dying this year: Survey shows BBC have broadcast TWICE as many obituaries in 2016 compared to last year

Inasemekana huu mwaka tutawapoteza watu mashuhuri....
 
Hivi ndo tuseme ajali kazini ama, maana nimejiuliza maswali mengi sana baada kifo chake papa wemba hasa kilicho msababishia kuondoa uhai wake ili limekaaje, hizi hall stage huwa zinandaliwa na experts na kwa kiwango cha ubora gani hasa kwa bara la Afrika ukiacha SOUTH AFRICA ambao wanaanda MTV BASE AWARDS naona bado tupo nyuma sana... Mbona BET AWARDS, MTV AWARDS hall stages zake zipo kwenye viwango vya juu na wana weka effort sana kwenye hili kwa kweli huwa wana stage nzuri sana na zenye hadhi huku wakiangazia USALAMA wa wasanii wakiwa kwenye stage, leo tumempoteza papa wemba kwa hall stage collapse dah inasikitisha..
Jifunze kufatilia mambo kwa undani kuna faida yake.
 
Imethibitishwa kuwa ile collabo kati ya marehemu Papa Wemba na msanii wa kimataifa Diamond Platinumz inategemea kuachiwa mwezi huu tarehe 24 june 2016. Ikumbukwe hii ni moja kati ya nyimbo za mwisho alizoimba Papa Wemba kabla mauti haujamfika na ilifanyika Paris, Ufaransa.

Na pia kuna collabo ya Diamond ft P.Square pia itaachiwa so soon

3033a674d5bfad0fc51babbd1f9bd627.jpg
 
Back
Top Bottom