I thought differently, then tunawekana sawa acha kutoa povu... It cost u nothing to correct.Jamaa hajadondoka toka juu mpaka chini, amecollapse... Ni heart failure i think.
Ingeweza tokea hata akiwa usingizini.... So acha kulalamika.
Dah mauti yanakukuta mahala popote, thought was stage defaultyaani mwili wake ndo ulisimama kufanya kazi,
collapse sio jukwaa
Ok i accept, thanks for correctionsNo it wasn't!!
Hiyo itakuwa cadiarc rest,maana at 66 bado yupo stajini,ila alitabiri kuwa ataondoka akiwa stejini mbele ya funs wakeDah mauti yanakukuta mahala popote, thought was stage default
Yah maneno huumba.... So sad its unthinkableHiyo itakuwa cadiarc rest,maana at 66 bado yupo stajini,ila alitabiri kuwa ataondoka akiwa stejini mbele ya funs wake
I thought differently, then tunawekana sawa acha kutoa povu... It cost u nothing to correct.
Poleee...uwe unaandika vizuri lakini bibie eti eeh!!Jedud christ ndo napaya taatifa kuwa papa wemba kafa rest in peace
Jifunze kufatilia mambo kwa undani kuna faida yake.Hivi ndo tuseme ajali kazini ama, maana nimejiuliza maswali mengi sana baada kifo chake papa wemba hasa kilicho msababishia kuondoa uhai wake ili limekaaje, hizi hall stage huwa zinandaliwa na experts na kwa kiwango cha ubora gani hasa kwa bara la Afrika ukiacha SOUTH AFRICA ambao wanaanda MTV BASE AWARDS naona bado tupo nyuma sana... Mbona BET AWARDS, MTV AWARDS hall stages zake zipo kwenye viwango vya juu na wana weka effort sana kwenye hili kwa kweli huwa wana stage nzuri sana na zenye hadhi huku wakiangazia USALAMA wa wasanii wakiwa kwenye stage, leo tumempoteza papa wemba kwa hall stage collapse dah inasikitisha..