Collaboration bora zaidi za Bongo Fleva

Mr 2 na mike t wameimba utanipenda? Sio yule mganda ndio kaimba na mike?
Utanipenda ni wimbo wa Mike Tee na Mganda Mad Ice, ila remix yake ndio Sugu akashirikishwa/akaongezwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipindi hicho muziki muziki kweli, watu hawaangalii NANI kaimba wanaangalia NINI kimeimbwa. Tofauti na leo wasanii wanatoa nyimbo za hovyo ila majina yanawabeba
"Nakuhitaji" kipindi unatoka huu wimbo ulikua na mingap miaka??
 
CHRISTIAN BELLA Ft OMMY DIMPOZ- MAMA (hii[emoji91])

F.a FT G-NAKO- Mfalme

WEUSI - GERE

izi. Ni za kizazi kipya...za kizazi cha kale ZOOOOOTE Kali walitisha sana Malegend kweli zakale ni dhahabu

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Nazipataje mkuu
 
Mangwair ft Mchizi Mox demu wangu
Nipe ripoti spark ft tunda
Madee &Zillah hili game


Hizi ngoma nasikilizaga tangu zamani sijuagi nani kamfunika mwenzake.
 
Ay ft Lady jaydee-Imani imetoweka,,,nyimbo bora kabisa kutoka kwa Ay,flow kali sana na biti tamu kutoka kwa Pfunk majani[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Afande sele ft Prof jay, solo thang - Mtazamo
Prof jay ft Juma nature - zali la mentali
 
Mbna nyimbo zote za wahenga , au nyie ni wahenga , anyway Recently
1. Kwangwaru - Harmonize ft Diamond
2.Mziki - Darasa ft Ben Pol
3.My number one - Rayvanny ft Zuchu
4.Ni wewe - Killy ft Harmonize
5.
Mtaongezea
Kwangwaru my favorite song
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…