Colonel Macgregor wa Marekani asema Biden alikataa kukiri madai muhimu ya Putin, sasa atazame tu kwa macho uvamizi wa kijeshi wa Putin Ukraine

msema kweli mpenzi wa mungu
 
Tulia wew Ukraine awaonyeshe shoo shenzi putin
 
China haipo tayari kuungana na Russia lakini atleast wametoa tamko kuhusu Kipwipwi USA
 
Russia keshajitwalia uwanja wa ndege wa Antonov International Airport huko Ukrain.
 
Hapa inabidi ukraine ikubali kuachana na mpango wake wa kujiunga nato......
 
Dunia ya tatu tunaendelea kushuhudia yanayoendelea duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ