Hata wakiuza hutagawiwa kitu Sana Sana na wewe utauzwa.Kama inafaa wauze tu Ili tugawane kila MMOJA chake!!jeshi limekaa KIMYA,The state nayo imeparalyse Baada ya kutukosea watz kwa kumteua kichaa!!Sasa wameisusa nchi na wahuni wame take advantage ya makosa yao!!
Walimtukana magu eti mshamba
Kabisa, si unaona hadi migaidi ipo jela!Nchi imekomboka kutoka katika ile laana.
Hao wanakutana mara nyingi kuliko walivyokutana Dubai. Na kikubwa hapa si watu na majina yao. Watu na majina mtabadilisha sana. Muhimu ni kuwaondosha ccm madarakani make itaondoka na hii mifumo yake ya ovyo!!Najua ntashambuliwa sana, ila kwa kifupi combinations ya Nape,Mwiguru na Makamba ndani ya Dubai Sina Imani nayo kabisa.
Kwanini nasema hivyo?
Historia za hawa vijana wenzetu ziko wazi na hakuna anae jua yakuwa wapo tayari kuitwa mawaziri wastaafu mpaka hapo walipo?
Kimsingi hawa watu Bado Wana zile element za kutaka madaraka MAKUBWA kuliko haya waliyonayo kwa Sasa na binafsi najua Makamba na Nape Nnauye wana kazi ya kuprove Magufuli wrong kwa Kila jambo walilolifanya nae enzi hizo.
Nasema hivi kwa sababu kadhaa, kwanza waliowai mtusi nae akawasamehe ila walimtusi vibaya ingawa aliwasamehe.
Sasa fursa ya Makamba na Nape kukutana. Dubai kwao ni njia ya kujijenga kisiasa na kuona furssa ya kuiuza nchi ya Tanzania kwa ajili wao kujiandaa kutawala Tanzania mmoja wao anaamini anayo nguvu kubwa sanaaa ndani ya ccm ya kufanya kuwa Raisi, mwingine kwa Sasa msio jua yeye anajipanga kuwa Waziri Mkuu baada ya Samia, kimsingi watu hawa walishapotea Sasa Wana kuja kwa Kasi Ili kuhakikisha kundi la Magufuli Bashiru na polepole linapotea kabisa nchini Sasa je Ilo kundi nalo litakubali?
Kimsingi uwepo wao Dubai sidhani kama una uzalendo ndani yake zaidi wanajiandaaaa kuitawala Tanzania ila wenye macho tumeisha ona.
Nape na sheria mbovu ya habari,Makamba na mkatatiko wa umeme Kila siku na mwiguru na ToZo zake hawa ni....
Oligarchy hao. Ni ngumu kuwaodoa, they’ll kill you. Tuzoee tu. Kama Dkt Magufuli alikufa wewe nani??? Ndiyo maana Mama kaona isiwe tabu. Nchi hii ilishatekwa kitambo na hao oligarchy ambao kama unakumbuka walipoazimisha kifo cha Baba yake Nape ilikuwa ni kujipambanua kuwa wao ndiyo wenye nchi na ukizingua wanakuua.Najua ntashambuliwa sana, ila kwa kifupi combinations ya Nape,Mwiguru na Makamba ndani ya Dubai Sina Imani nayo kabisa.
Kwanini nasema hivyo?
Historia za hawa vijana wenzetu ziko wazi na hakuna anae jua yakuwa wapo tayari kuitwa mawaziri wastaafu mpaka hapo walipo?
Kimsingi hawa watu Bado Wana zile element za kutaka madaraka MAKUBWA kuliko haya waliyonayo kwa Sasa na binafsi najua Makamba na Nape Nnauye wana kazi ya kuprove Magufuli wrong kwa Kila jambo walilolifanya nae enzi hizo.
Nasema hivi kwa sababu kadhaa, kwanza waliowai mtusi nae akawasamehe ila walimtusi vibaya ingawa aliwasamehe.
Sasa fursa ya Makamba na Nape kukutana. Dubai kwao ni njia ya kujijenga kisiasa na kuona furssa ya kuiuza nchi ya Tanzania kwa ajili wao kujiandaa kutawala Tanzania mmoja wao anaamini anayo nguvu kubwa sanaaa ndani ya ccm ya kufanya kuwa Raisi, mwingine kwa Sasa msio jua yeye anajipanga kuwa Waziri Mkuu baada ya Samia, kimsingi watu hawa walishapotea Sasa Wana kuja kwa Kasi Ili kuhakikisha kundi la Magufuli Bashiru na polepole linapotea kabisa nchini Sasa je Ilo kundi nalo litakubali?
Kimsingi uwepo wao Dubai sidhani kama una uzalendo ndani yake zaidi wanajiandaaaa kuitawala Tanzania ila wenye macho tumeisha ona.
Nape na sheria mbovu ya habari,Makamba na mkatatiko wa umeme Kila siku na mwiguru na ToZo zake hawa ni....
Kwa ushahidi upi?Najua ntashambuliwa sana, ila kwa kifupi combinations ya Nape,Mwiguru na Makamba ndani ya Dubai Sina Imani nayo kabisa.
Kwanini nasema hivyo?
Historia za hawa vijana wenzetu ziko wazi na hakuna anae jua yakuwa wapo tayari kuitwa mawaziri wastaafu mpaka hapo walipo?
Kimsingi hawa watu Bado Wana zile element za kutaka madaraka MAKUBWA kuliko haya waliyonayo kwa Sasa na binafsi najua Makamba na Nape Nnauye wana kazi ya kuprove Magufuli wrong kwa Kila jambo walilolifanya nae enzi hizo.
Nasema hivi kwa sababu kadhaa, kwanza waliowai mtusi nae akawasamehe ila walimtusi vibaya ingawa aliwasamehe.
Sasa fursa ya Makamba na Nape kukutana. Dubai kwao ni njia ya kujijenga kisiasa na kuona furssa ya kuiuza nchi ya Tanzania kwa ajili wao kujiandaa kutawala Tanzania mmoja wao anaamini anayo nguvu kubwa sanaaa ndani ya ccm ya kufanya kuwa Raisi, mwingine kwa Sasa msio jua yeye anajipanga kuwa Waziri Mkuu baada ya Samia, kimsingi watu hawa walishapotea Sasa Wana kuja kwa Kasi Ili kuhakikisha kundi la Magufuli Bashiru na polepole linapotea kabisa nchini Sasa je Ilo kundi nalo litakubali?
Kimsingi uwepo wao Dubai sidhani kama una uzalendo ndani yake zaidi wanajiandaaaa kuitawala Tanzania ila wenye macho tumeisha ona.
Nape na sheria mbovu ya habari,Makamba na mkatatiko wa umeme Kila siku na mwiguru na ToZo zake hawa ni....
Unasikia mi hai hawanitishi!!jpm alikosea kupambana nao majukwaani Mimi napambana nao KIMYA KIMYA hulu nacheka nao wala sikemei na kumfokea mtu!!YAANI silence that kills slowly!!wanipe Mimi waone moto wangu!!sileti Sasa za majukwaani za kuwananga YAANI nawasifu majukwaani halafu nawashughulikia sirini KIMYA KIMYA!!!Oligarchy hao. Ni ngumu kuwaodoa, they’ll kill you. Tuzoee tu. Kama Dkt Magufuli alikufa wewe nani??? Ndiyo maana Mama kaona isiwe tabu. Nchi hii ilishatekwa kitambo na hao oligarchy ambao kama unakumbuka walipoazimisha kifo cha Baba yake Nape ilikuwa ni kujipambanua kuwa wao ndiyo wenye nchi na ukizingua wanakuua.
Muuza madawa ambaye kupitia yeye gesi ya kusini China wabeba yoteWaziri mdogo yup?yule mwarabu wa Dubai
Chali+ Nzega[emoji23]Kaka unamafumbo weye!
Haya njoo na barabara ya Morogoro mpaka inapokutana na barabara ya kwenda Arusha.
Naomba kukuuliza swali dogo,Nasema hivi kwa sababu kadhaa, kwanza waliowai mtusi nae akawasamehe ila walimtusi vibaya ingawa aliwasamehe.
Kwako wewe huu uhuni na ushamba wa kufanya biashara barabarani unaona ni ujanja?? Ndiyo maana Sasa serikali makini omewafurusha mrudi kwenu Nyambiti huko mkalimehivi vimishahara vyenu vinawanyima maarifa sana.
Nd+ Bashe, jamaa wameungana kupiga pesa za umma vizuri, umeowahi kuona watu vivutio vipo Tanzania lakini onyesho lipo Uarabuni?
Najua ntashambuliwa sana, ila kwa kifupi combinations ya Nape,Mwiguru na Makamba ndani ya Dubai Sina Imani nayo kabisa.
Kwanini nasema hivyo?
Historia za hawa vijana wenzetu ziko wazi na hakuna anae jua yakuwa wapo tayari kuitwa mawaziri wastaafu mpaka hapo walipo?
Kimsingi hawa watu Bado Wana zile element za kutaka madaraka MAKUBWA kuliko haya waliyonayo kwa Sasa na binafsi najua Makamba na Nape Nnauye wana kazi ya kuprove Magufuli wrong kwa Kila jambo walilolifanya nae enzi hizo.
Nasema hivi kwa sababu kadhaa, kwanza waliowai mtusi nae akawasamehe ila walimtusi vibaya ingawa aliwasamehe.
Sasa fursa ya Makamba na Nape kukutana. Dubai kwao ni njia ya kujijenga kisiasa na kuona furssa ya kuiuza nchi ya Tanzania kwa ajili wao kujiandaa kutawala Tanzania mmoja wao anaamini anayo nguvu kubwa sanaaa ndani ya ccm ya kufanya kuwa Raisi, mwingine kwa Sasa msio jua yeye anajipanga kuwa Waziri Mkuu baada ya Samia, kimsingi watu hawa walishapotea Sasa Wana kuja kwa Kasi Ili kuhakikisha kundi la Magufuli Bashiru na polepole linapotea kabisa nchini Sasa je Ilo kundi nalo litakubali?
Kimsingi uwepo wao Dubai sidhani kama una uzalendo ndani yake zaidi wanajiandaaaa kuitawala Tanzania ila wenye macho tumeisha ona.
Nape na sheria mbovu ya habari,Makamba na mkatatiko wa umeme Kila siku na mwiguru na ToZo zake hawa ni....
Umesema kitu cha maana sana. Makamba nape na mwigulu ni gang of three. Wote ni wapinga maendeleo na wapigaji. Magufulists wajiandae mapambano na wasaliti wa fikra za kijamaa ndani ya ccmNajua ntashambuliwa sana, ila kwa kifupi combinations ya Nape,Mwiguru na Makamba ndani ya Dubai Sina Imani nayo kabisa.
Kwanini nasema hivyo?
Historia za hawa vijana wenzetu ziko wazi na hakuna anae jua yakuwa wapo tayari kuitwa mawaziri wastaafu mpaka hapo walipo?
Kimsingi hawa watu Bado Wana zile element za kutaka madaraka MAKUBWA kuliko haya waliyonayo kwa Sasa na binafsi najua Makamba na Nape Nnauye wana kazi ya kuprove Magufuli wrong kwa Kila jambo walilolifanya nae enzi hizo.
Nasema hivi kwa sababu kadhaa, kwanza waliowai mtusi nae akawasamehe ila walimtusi vibaya ingawa aliwasamehe.
Sasa fursa ya Makamba na Nape kukutana. Dubai kwao ni njia ya kujijenga kisiasa na kuona furssa ya kuiuza nchi ya Tanzania kwa ajili wao kujiandaa kutawala Tanzania mmoja wao anaamini anayo nguvu kubwa sanaaa ndani ya ccm ya kufanya kuwa Raisi, mwingine kwa Sasa msio jua yeye anajipanga kuwa Waziri Mkuu baada ya Samia, kimsingi watu hawa walishapotea Sasa Wana kuja kwa Kasi Ili kuhakikisha kundi la Magufuli Bashiru na polepole linapotea kabisa nchini Sasa je Ilo kundi nalo litakubali?
Kimsingi uwepo wao Dubai sidhani kama una uzalendo ndani yake zaidi wanajiandaaaa kuitawala Tanzania ila wenye macho tumeisha ona.
Nape na sheria mbovu ya habari,Makamba na mkatatiko wa umeme Kila siku na mwiguru na ToZo zake hawa ni....