Combination ya Nape, Makamba na Mwigulu nchini Dubai sina imani nayo kabisa

Waacheni wale muda wao huu.. Nchi ni mali yao wameirithi toka kwa mababa zao
 
Sio lazima usome nyuzi zangu kibwengo ww mtu wa kujipendekeza kwa watawala HIV mkeo karudi au bado watasha wanafanya Yao.?
 
Sio lazima usome nyuzi zangu kibwengo ww mtu wa kujipendekeza kwa watawala HIV mkeo karudi au bado watasha wanafanya Yao.?
Wanawake wakiwa wambea ni haki na halali Yao, mwaume unapokuwa mbea unatia kiny..!. Kama hapa sasa unaleta mambo ya wife wangu ya nini kama sio umbea?. Kwani ni wewe huwa unawashikia mguu hao watasha ?.
Umbea kwa wanaume haupendezi kuleta hoja za MMU humu kwenye serious issues. No matter how stupid you are, please stop this nonsense!.
P
 
And also you should stop! Uume wangu unaujua nimekwambia usisome nyuzi zangu maana zaweza gusa mabahasha zikakuletea kinyaa kumbuka ninao wagusa wanakuweka mjini pale mkeo hasipotoa matumizi, kwa kukupa vijitangazo vya kuwalemba lemba
 
Kimsingi watu hawa walishapotea Sasa Wana kuja kwa Kasi Ili kuhakikisha kundi la Magufuli Bashiru na polepole linapotea kabisa nchini Sasa je, hilo kundi nalo litakubali?
Nani kakwambia walishapotea? kutesa huwa ni kwa zamu, Nani asiyejua umahili wa kazi ya Nape na January ndani ya CCM? Nani asiyejua January alikuwa no 3 kwenye mbio za kugombea urais kupitia CCM ?

Njoo tupigania katiba mpya, wenzako haya tulishayajua kitambo sana kwamba 2030 nani anafuatia acha kulalamika.
 
ccm mtauana mwwka huu
 
Acha kuwapaka matope...

Aliyepewa mheshimu,, riziki yake ni pana... By stara thomas

Tunalaumu sana wengi kwa vile keki ya taifa haipo upande wetu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…