Combination ya Zitto na January Makamba

Hahaha mutawapenda, hapo kuna mmoja ni mfalme na mwingine ni mpiga zumari

Huyu mpiga zumari hafanyi hivyo bure, ndio maana sometimes anakubali kujidhalilisha ili apate chechote.
Pesa za January zinaliwa kizembe sana
 
Maintenance inafanyika kwa wakati mmoja nchi nzima?
Twende na facts na siyo mihemko.

Umefanya utafiti mabadiliko ya tabia ya nchi na uzalishaji wa umeme wetu?

Je ni kweli kwamba awamu ya 5 walikuwa hawafanyi maintanance ya miuondombinu ili kumfurahisha rais wa awamu ya 5?
 
Hao wote ni makuwadi na madalali. Ajabu sana wako kwenye rada za kuongoza jumba jeupe wkati ujao
 
Kuna kitu kinaandaliwa na Makamba kitu ambacho kama Rais hatastuka Watanzania tutalizwa kilio ambacho ni kikubwa sana

Makamba alisema tatizo la umeme ni mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa mda mrefu kwa watumishi kuogopa kuzima umeme kwa ajili ya matengenezo eti JPM angewatumbua.

Makamba akamwita Matarajio na kumpiga mkwala kwamba kwa nini anatangaza kuwa kuna tatizo llama upungufu wa maji katika mabwawa ya umeme wakati hakuna tatizo hilo

Makamba bila aibu anasema nchi yote ya Tz hakuna mtambo wa kubeba vitu vizito.

Mama najua nimempa mchawi mtoto akulelee lakini huyo mchawi Jana aibu lazima atamuua mtoto.

Bora uendelee kutukanwa mitandaoni na Kigogo kulikoni kukwepa kutukanwa na huyo kigogo ambae atakuletea aibu kubwa.

Combination ya Makamba ni yeye Makamba, Liz1 Nape na Zitto. Kwa hii combination mama unajua kama hujui.
 


Wacheni wana Galanos Secondary School wenzangu. Proud of you guys!
 
Zitto ni makamba aliyechangamka.
Ni wapigaji na madalali.
Safari hii CCM wajipange kupigana mabomu, wapigaji watapiga pesa mpaka senti ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…