Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio za jasho lake, anachota tu.Pesa za January zinaliwa kizembe sana
Kariakoo pia iliunguzwa baada ya mama kutumbua uongozi wa soko. Tafakari!Cha ajabu ni kwamba umeme umeanza kuzingua baada ya kuvunjwa bodi iliyo daiwa kuwa mbovu
mwanzo walificha bt ulimwengu hauna siri, zito kwa makamba humwambii kitu.Uko sahihi.
We uliza uone kama yeyote kati yao ana mke!!
Twende na facts na siyo mihemko.
Umefanya utafiti mabadiliko ya tabia ya nchi na uzalishaji wa umeme wetu?
Je ni kweli kwamba awamu ya 5 walikuwa hawafanyi maintanance ya miuondombinu ili kumfurahisha rais wa awamu ya 5?
Sio siri tena kuwa kuna combination ya Zitto na January kwenye wizara ya nishati.
January aliteuliwa kuwa waziri wa nishati, zitto alisema ni teuzi nzuri na sasa tutashuhudia mabadiliko makubwa sana ya nishati nchini ambayo hatukuwahi kuyaona.
January aliunda bodi mpya ambayo wengi waliona haiko sawa, zitto akafanya back-up kuwa bodi ile ni nzuri sana na mwanza wa Tanesco mpya na waziri January akashukuru.
Tuliaminishwa ni mwanzo wa Tanesco mpya yenye kusheheni wabobezi.
Ghafla umeme ukaanza kuwa shida
January akasema tatizo ni maintenance zilikuwa hazifanyiki awamu ya 5, zitto akatoa back up Kama kawaida. Hapo uzuri wa management na bodi mpya ukasahaulika.
Raisi katoka hadharani na kusema tatizo lipo kwenye uzalishaji, safari hii January akapiga kimya maana alishatoa statement tofauti hapo kabla.
Zitto akaingia Kati kutetea kuwa awamu y 5 ndio tatizo, Hadi hapa ile bodi ya wataalamu ambayo tuliambiwa ni Tanesco mpya imesahaulika.
Kwa namna yoyote ile Kuna Jambo la makusudi limeandaliwa kiustadi na hatimaye sasa tushaminishwa kuwa umeme wa maji haufai.
Ukame umetokea ghafla, kina cha maji kimepunguaa ghafla.
Hii combination ya Zitto na January ni Kama ile ya Xavi na Iniesta. Tusubiri matokeo
View attachment 2015969View attachment 2015970
Hao wote ni makuwadi na madalali. Ajabu sana wako kwenye rada za kuongoza jumba jeupe wkati ujaoSio siri tena kuwa kuna combination ya Zitto na January kwenye wizara ya nishati.
January aliteuliwa kuwa waziri wa nishati, zitto alisema ni teuzi nzuri na sasa tutashuhudia mabadiliko makubwa sana ya nishati nchini ambayo hatukuwahi kuyaona.
January aliunda bodi mpya ambayo wengi waliona haiko sawa, zitto akafanya back-up kuwa bodi ile ni nzuri sana na mwanza wa Tanesco mpya na waziri January akashukuru.
Tuliaminishwa ni mwanzo wa Tanesco mpya yenye kusheheni wabobezi.
Ghafla umeme ukaanza kuwa shida
January akasema tatizo ni maintenance zilikuwa hazifanyiki awamu ya 5, zitto akatoa back up Kama kawaida. Hapo uzuri wa management na bodi mpya ukasahaulika.
Raisi katoka hadharani na kusema tatizo lipo kwenye uzalishaji, safari hii January akapiga kimya maana alishatoa statement tofauti hapo kabla.
Zitto akaingia Kati kutetea kuwa awamu y 5 ndio tatizo, Hadi hapa ile bodi ya wataalamu ambayo tuliambiwa ni Tanesco mpya imesahaulika.
Kwa namna yoyote ile Kuna Jambo la makusudi limeandaliwa kiustadi na hatimaye sasa tushaminishwa kuwa umeme wa maji haufai.
Ukame umetokea ghafla, kina cha maji kimepunguaa ghafla.
Hii combination ya Zitto na January ni Kama ile ya Xavi na Iniesta. Tusubiri matokeo
View attachment 2015969View attachment 2015970
Opersheni Panama ya Japhet Nyangoro Sudi
Mkuu kigugumizi umekisoma piaKitabu kizuri sana!
Kuna kitu kinaandaliwa na Makamba kitu ambacho kama Rais hatastuka Watanzania tutalizwa kilio ambacho ni kikubwa sanaSio siri tena kuwa kuna combination ya Zitto na January kwenye wizara ya nishati.
January aliteuliwa kuwa waziri wa nishati, zitto alisema ni teuzi nzuri na sasa tutashuhudia mabadiliko makubwa sana ya nishati nchini ambayo hatukuwahi kuyaona.
January aliunda bodi mpya ambayo wengi waliona haiko sawa, zitto akafanya back-up kuwa bodi ile ni nzuri sana na mwanza wa Tanesco mpya na waziri January akashukuru.
Tuliaminishwa ni mwanzo wa Tanesco mpya yenye kusheheni wabobezi.
Ghafla umeme ukaanza kuwa shida
January akasema tatizo ni maintenance zilikuwa hazifanyiki awamu ya 5, zitto akatoa back up Kama kawaida. Hapo uzuri wa management na bodi mpya ukasahaulika.
Raisi katoka hadharani na kusema tatizo lipo kwenye uzalishaji, safari hii January akapiga kimya maana alishatoa statement tofauti hapo kabla.
Zitto akaingia Kati kutetea kuwa awamu y 5 ndio tatizo, Hadi hapa ile bodi ya wataalamu ambayo tuliambiwa ni Tanesco mpya imesahaulika.
Kwa namna yoyote ile Kuna Jambo la makusudi limeandaliwa kiustadi na hatimaye sasa tushaminishwa kuwa umeme wa maji haufai.
Ukame umetokea ghafla, kina cha maji kimepunguaa ghafla.
Hii combination ya Zitto na January ni Kama ile ya Xavi na Iniesta. Tusubiri matokeo
View attachment 2015969View attachment 2015970
Kamwe narudia tena kamwe mama hawezi kumtumbua Makamba. Ubavu huo hanaSubiri Makamba Atumbuliwe kwanza. Uone kikogo anavyo toa povu.
Sio siri tena kuwa kuna combination ya Zitto na January kwenye wizara ya nishati.
January aliteuliwa kuwa waziri wa nishati, zitto alisema ni teuzi nzuri na sasa tutashuhudia mabadiliko makubwa sana ya nishati nchini ambayo hatukuwahi kuyaona.
January aliunda bodi mpya ambayo wengi waliona haiko sawa, zitto akafanya back-up kuwa bodi ile ni nzuri sana na mwanza wa Tanesco mpya na waziri January akashukuru.
Tuliaminishwa ni mwanzo wa Tanesco mpya yenye kusheheni wabobezi.
Ghafla umeme ukaanza kuwa shida
January akasema tatizo ni maintenance zilikuwa hazifanyiki awamu ya 5, zitto akatoa back up Kama kawaida. Hapo uzuri wa management na bodi mpya ukasahaulika.
Raisi katoka hadharani na kusema tatizo lipo kwenye uzalishaji, safari hii January akapiga kimya maana alishatoa statement tofauti hapo kabla.
Zitto akaingia Kati kutetea kuwa awamu y 5 ndio tatizo, Hadi hapa ile bodi ya wataalamu ambayo tuliambiwa ni Tanesco mpya imesahaulika.
Kwa namna yoyote ile Kuna Jambo la makusudi limeandaliwa kiustadi na hatimaye sasa tushaminishwa kuwa umeme wa maji haufai.
Ukame umetokea ghafla, kina cha maji kimepunguaa ghafla.
Hii combination ya Zitto na January ni Kama ile ya Xavi na Iniesta. Tusubiri matokeo
View attachment 2015969View attachment 2015970
Mwandishi ni role model wa zitto kiasi kumpa mwanae jina la chachage[emoji205]
View attachment 2016598
Maintenance inafanyika kwa wakati mmoja nchi nzima?