Comedians mnafeli wapi?

Comedians mnafeli wapi?

mtingi1

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2020
Posts
957
Reaction score
935
Huwa nawashangaa sana wasanii wa vichekesho aka comedy.

Wanapokuwa wakiigiza kama wanawake! Hivi huwa wanajisikiaje? Inaamaana hakuna wanawake wanaoweza kumudu uhusika katika scene hizo?

Wanavaa madira, na kuweka makalio bandia na kujichetua kikekike! Khaaaa!

Kama mwanaume nashauri mshike nafasi zenu, kwani kama kipaji kipo kipo tu, tutacheka!

Kumbuka kuchukua tahadhali uwe salama hadi hili janga la COVID-19 lipite na tubaki salama.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sasa hivi siwezi kuangalia comedy ya mtu kajipaka makeup awe wa kike..
Joti mwenyewe nilikua namkubali lakini naona kama umri umemtupa na kipaji kimepotea.. yanai anaforce kuchekesha na mamakeup yake..
Lakini mwenzio Ana mjengo wa maana Kigamboni, contracts za biashara na kampuni za maana. Wewe unaishi kwa shemeji yako Amana
 
Kama hachekeshi mbona anapiga hela ya kuwa na mijengo? Watanzania tumejaa wivu Sana

We jamaa hivi unajielewa?? Mimi nimejiongelea mimi hanichekeshi ndio maana siangalii tena comedy zake.

Sasa kama hanichekeshi mimi kwani dunia nzima wana interests kama zangu?? Kuna watu wanapenda pigo za kike kike kama WEWE inawezekana mko wengi..

Personal opinion yangu sio ya Taifa wala dunia na sijamshawishi mtu asiangalie .
 
We jamaa hivi unajielewa?? Mimi nimejiongelea mimi hanichekeshi ndio maana siangalii tena comedy zake.

Sasa kama hanichekeshi mimi kwani dunia nzima wana interests kama zangu?? Kuna watu wanapenda pigo za kike kike kama WEWE inawezekana mko wengi..

Personal opinion yangu sio ya Taifa wala dunia na sijamshawishi mtu asiangalie .
Sasa Kama Ni personal opinion unaweka hapa Ili iweje? Endelea kudanga Kama comedians hawakufikishi
 
Sasa Kama Ni personal opinion unaweka hapa Ili iweje? Endelea kudanga Kama comedians hawakufikishi
We jamaa kama unatafuta bwana umekosea njia mimi sifukui mitaro.. labda kama una dada unaweza kuweka namba hapa..
 
Ila wabongo kwa kujifanyaga "watakatifu" huku mitandaoni. I know people like you mnaanzisha nyuzi kama hizi ili kutengeza image flani ya uanaume au "righteousness" na kupata "popular opinion" kutoka kwa public.

Yaaani mtu kaamua mwenyewe Kucheza km demu na siyo demu kweli in fact Unakuta Ana mke wake ameoa kabisa ila wewe inakuuma kweli yaaani. Sasa si Maisha yake wewe inakuuma Nini? 😂😂 Kama ingekuwa haikuumi ungeignore tu usingekuja Kufungua Uzi hapa.

Calm down. Usijisahaulishe dhambi zako kwa matendo ya mtu Mwingine na nikukumbushe tu don't judge what you don't know.
 
Ila wabongo kwa kujifanyaga "watakatifu" huku mitandaoni. I know people like you mnaanzisha nyuzi kama hizi ili kutengeza image flani ya uanaume au "righteousness" na kupata "popular opinion" kutoka kwa public.

Yaaani mtu kaamua mwenyewe Kucheza km demu na siyo demu kweli in fact Unakuta Ana mke wake ameoa kabisa ila wewe inakuuma kweli yaaani. Sasa si Maisha yake wewe inakuuma Nini? 😂😂 Kama ingekuwa haikuumi ungeignore tu usingekuja Kufungua Uzi hapa.

Calm down. Usijisahaulishe dhambi zako kwa matendo ya mtu Mwingine na nikukumbushe tu don't judge what you don't know.
Waambie jamaa wa aina ya mtoa mada wanakera ile mbaya kuigaza kwake Kama mwanamke wewe inakukera Nini Kama anapata ugali wa kill siku kupitia hiyo style we ninani mpaka umpangie.Neno ushoga limewakaa kichwani mpaka wanashindwa kufikiri.
 
Back
Top Bottom