Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kwa bongo nilikua napenda sana Ze comedy, yale maigizo yao. Bt since wamesambaratika hamna comedian ananifrahisha.
Kwenye Ze Comedy, Joti na Wakuvanga walikuwa baadhi ya segments wanaigiza kama wanawake, ulikuwa unazikubali au unazikataa?