Kumbe we jamaa Ni mpuuzi kiasi hichi kwani Jambo na Vijambo vimilikiwa na diamond?Wewe kila kitu cha WCB, Wasafi na Diamond huwa lazima ukisifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe we jamaa Ni mpuuzi kiasi hichi kwani Jambo na Vijambo vimilikiwa na diamond?Wewe kila kitu cha WCB, Wasafi na Diamond huwa lazima ukisifu.
Kumbe we jamaa Ni mpuuzi kiasi hichi kwani Jambo na Vijambo vimilikiwa na diamond?
Nyinyi mtakuwa mnamatatizo yenu amjui tofauti Kati ya ushabiki na factsItakua ana hisa nini pale WCB😀
Wabongo utawaweza? Hawa hawa ambao mtu akiigiza uhusika wa ubaya (uchawi, roho mbaya n.k.) eti kitaani watu wanaanza kummaindi kiukweli!Mkuu Ngoja nikusaidie. Hiyo inaitwa Parodying. Hata Mr Bean Alishafanya sikumbuki tu ni movie gani na atafanya Tena kama Scene ikimuhitaji kufanya hivyo. Angalia SNL ya marekani Parodying inafanyika Sana. Bongo unaona kila mtu Anafanya parodying ya kike kwa sababu hufuatilii Comedy ya bongo kwa Undani. Umejikita tu na hao kina comedians unaowaona insta.
Sijajua Kwanini mnawaattack Sana wabongo Mfano Joti mnayemuongelea hapa anaweza akaact kama Mzee, Mtoto, Mwanamke au kijana tu wa kawaida. Dulivan ndo kabisa ndo hadi Movie anaigiza parodying kama mtoto. Mbona hamsemagi kuwa duli akili zake zinabadilika zinakuwa za kitoto akiact kama mtoto?
Yaani sielewi mnanung'unika Nini km msanii kachukua kipengele kimoja tu Cha Parodying na kukifanyia kazi ili atimize matakwa ya kifasihi.
Nimekuuliza Jambo na Vijambo inamilikiwa na diamond? Mbona unashindwa kunijibu mbona swali rahisi
Kwani Kuna ubaya gani kuizungumzia WCB? Ukiangalia humu jamvini asilimia kubwa Ni habari za WCB mbona Hilo ushangai Kama watu wanafanya vizuri na Wana matukio mengi yakuzungumzwa kwanini watu wasiwazungumzie?Na hua anapambana hasa, humwambii kitu kuhusu wasafi. Kama anapata mkwanja kupitia hyo basi well and good, ila kama ni ushabiki tu daah basi ni hatari
Wabongo nuksi Sana.Wabongo utawaweza? Hawa hawa ambao mtu akiigiza uhusika wa ubaya (uchawi, roho mbaya n.k.) eti kitaani watu wanaanza kummaindi kiukweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kumuona baba yako amevaa kama mwanamke?Mwingine huyu. Inaonekana unawazaga Sana kuhusu hizo mambo na ndo maana unajifanya unachukia hapa. Punguza mawazo machafu kichwani mwako. Anza kuadopt vitu vingine ili uache kufikiria kumtoboa mwanaume mwenzio.
Pathetic.
😂😂😂😂Ona hili tikiti maji.. hapa tunaongelea mijengo au kuchekesha..
Kwa hizi akili sidhani kama form 4 ulimaliza
Kwani baba yake anafanya kazi za Sanaa? au hao wanaigiza Kama wanamke unazani hawana familia? Na unazani awajui kwamba mzee yupo kazini? Acha kuforce vitu ambavyo havipo au una access na huo ushoga maana unavyon'gan'gania unanishangaza Sana.Ulishawahi kumuona baba yako amevaa kama mwanamke?
Au baba yako atafurahi akikuona umevaa kama mwanamke?
Unang'ang'ania sana kuvaa kama mwanamke.Kwani baba yake anafanya kazi za Sanaa? au hao wanaigiza Kama wanamke unazani hawana familia? Na unazani awajui kwamba mzee yupo kazini? Acha kuforce vitu ambavyo havipo au una access na huo ushoga maana unavyon'gan'gania unanishangaza Sana.
Acha wivu na kazi za watu mbona wewe ujapangiwa kazi yakufanyaUnang'ang'ania sana kuvaa kama mwanamke.
Kuwa makini ukiwa umevaa madera yako watakushika mroso.
Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
Vipi mwanamke akiekti kama kidumeZilikua hazinivutii, kitendo cha mwanaume kuact kama mwanamke hua sifurahishwi nacho ila nlikua naangalia sababu kipindi ndo nishakipenda
Idriss ana content gani ya vichekesho si bora hata mpokinope idris anajitahid labda ww unafaa kuchekeshwa na jiwe
Hongera kiasi flani umeweza kubadilisha uzi. Umekuja kuwa uzi wa wasanii wa comedy wanaokubalika east afrika[emoji1787][emoji1787]Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
Acha wivu na kazi za watu mbona wewe ujapangiwa kazi yakufanya