Kwenye hiyo listi ongezeaYanga naona wanaanza kuwajaza simba huko kwao.
Senzo
Manara
Kocha wa makipa.
Tutawapa na Mangungu kabisa.
wakiondolewa huku ndio nyie mnabeba lkn sisi tukibeba nyie mbio hadi CASKwenye hiyo listi ongezea
Kakolanya;
Gadiel; na
Morrison.
Dah umempiga kwenye mshono akikujibu nitagKwenye hiyo listi ongezea
Kakolanya;
Gadiel; na
Morrison.
Umekosa hoja umeazna kuokoteza vitu vya kijingaAliyekuwa kocha wa Magolikipa na kuifanya Simba ifungwe na Kaizer Chiefs F.C. bwana Milton Nienov aibukia Yanga. Tuliaminishwa kuwa leo kuna jambo kubwa; kumbe kocha mzembe mwenye ujuzi mdogo kwenye mipira ya cross.
Kila kitu wakiachana nacho Simba yanga wanaona ni dhahabu.
Mashabiki wa yanga waliaminishwa Phiri au Msuva, kumbe utopolo kibao.
Ahaaa! Hapana , umekosea . Kwa kakolanya , Gadiel na Morisson simba walipindua meza kibabe ndo Maana ukaona Yanga wakaenda Hadi CAS . Ila kwa Manara , senzo na huyo kocha walitimuliwa simba uto wakaokota.Umeona hiyo tofauti ?Kwenye hiyo listi ongezea
Kakolanya;
Gadiel; na
Morrison.
Soma hoja ya huyo niliyemnukuu, usiwe kama watu Rage alikuwa anasema wamejaa huko Bata fc.Ahaaa! Hapana , umekosea . Kwa kakolanya , Gadiel na Morisson simba walipindua meza kibabe ndo Maana ukaona Yanga wakaenda Hadi CAS . Ila kwa Manara , senzo na huyo kocha walitimuliwa simba uto wakaokota.Umeona hiyo tofauti ?
Hahaha ajibu umemsahauKwenye hiyo listi ongezea
Kakolanya;
Gadiel; na
Morrison.