Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Naambiwa eneo lenyewe limeanza kusafishwa tangu Agosti 10. Bado unaamini ni ndoto?
Kawe hamna eneo la kuweka mradi mkubwa hivi
Unless waseme wanahamisha watu kutoka Mediteraneo , Tanganyika packers, JKT hadi darajani kule karibu na hospitali ya jeshi.