Coming soon: New Kawe City (Uptown Kawe)

Coming soon: New Kawe City (Uptown Kawe)

Naambiwa eneo lenyewe limeanza kusafishwa tangu Agosti 10. Bado unaamini ni ndoto?

Kawe hamna eneo la kuweka mradi mkubwa hivi

Unless waseme wanahamisha watu kutoka Mediteraneo , Tanganyika packers, JKT hadi darajani kule karibu na hospitali ya jeshi.
 
Kama miradi yote ingefanikiwa, tungkuwa wa kupigiwa mfano
 
Kawe hamna eneo la kuweka mradi mkubwa hivi

Unless waseme wanahamisha watu kutoka Mediteraneo , Tanganyika packers, JKT hadi darajani kule karibu na hospitali ya jeshi.

Huu mradi na ule aliouweka Pasco wa JF ni mmoja au ni tafauti?
 
Last edited by a moderator:
Naambiwa eneo lenyewe limeanza kusafishwa tangu Agosti 10. Bado unaamini ni ndoto?

Takribani miaka mitatu iliyopita wakazi wa zilizokuwa Magomeni Quarters walidanganywa kwa kupewa fedha kidogo sana kwa ahadi ya kujengwa nyumba za kisasa kwenye eneo hilo ndani ya mwaka mmoja na wao kupewa kipaumbele. Jambo la kusikitisha na kutia hasira baada ya nyumba zile kuvunjwa mpaka sasa hakuna kilichofanyika kwenye eneo hilo mbali ya kugeuzwa kuwa eneo la kupumzika kwa mateja na vibaka na kutupia taka.

Mambo kama yaliyofanyika Magomeni Quarters ni wazi kabisa kuwa ndiyo yatakayotokea kwa eneo la iliyokuwa Tanganyika Packers na zaidi litaishia kuporwa na watawala wasiokuwa na aibu wala chembe ya U-Taifa.

HAKIKA SERIKALI YA CCM NA WATAWALA KWA UJUMLA WANAFAA KULAANIWA KWA MATENDO DHALILI NA YA KILAGHAI WANAYOWATENDEA WANANCHI WA TAIFA HILI.
 
Kidogo niweke kule kwa watani zetu ili tuwaringishie

:high5:

Project ikifanyiwa kazi na siasa zikawekwa kando, basi tutaelekea kuzuri, ajira zitatengenezwa, mapato yatakusanywa.
Usituletee huku Kenya..tayari tumeshuhudia mji wenu kumalizika kwa ndoto, tafadhali naomba musituletee ugonjwa wenu wa ndoto za mchana za CCM huku Kenya.white elephants in Tanzania $ real big things in Kenya
 
Kupitia NHC zitajengwa ila kwa muda mrefu. Labda kama watajikoroga kwenye management ila hakuna shida ya mtaji.
 
Construction worker homes already in place.




11403413_1672582852961029_1959272264802762670_n.jpg





11402941_1672582866294361_5224212831884188418_n.jpg





11707854_1672582889627692_2086019713753163846_n.jpg





11709559_1672582952961019_8317508793383872707_n.jpg
 
.
ESTIM SITE (7/11) RIGHT AND CRJE SITE LEFT.

12733964_1751598108392836_2320553360729348309_n.jpg


ESTIM CONSTRUCTION SITE WITH 5 CRANES

12688365_1751598135059500_8276596700017708170_n.jpg



12715742_1751597955059518_9170939083451693671_n.jpg


12742628_1751597988392848_4154938452556164023_n.jpg


CRJE CONSTRUCTION SITE WITH 2 CRANES BUT MANY STILL UNASSEMBLED DOWN THERE. SEE THE PHOTOS

12705213_1751598025059511_3231920168232215083_n.jpg



12729104_1751598075059506_8715998647201497856_n.jpg


1936273_1751598081726172_3225304479405975541_n.jpg


12733484_1751597941726186_9154830692530814531_n.jpg


10422488_1751600475059266_2823081074537223452_n.jpg


SEE UN ASSEMBLED CRANES

12717520_1751600485059265_121905878359230675_n.jpg


^^ photos taken with a phone, bad quality.​
 
clear photos of the two sites
CRJE SITE
10402886_1751692405050073_7163294032656006625_n.jpg


ESTIM SITE

12744277_1751692401716740_4757025831903178619_n.jpg
 
Back
Top Bottom