_ BABA _
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 203
- 19
Badala ya project za haya magorofa ya kichina kwa nini wasitujengee viwanda vikubwa vya kutengeneza products zinazotokana na raslimali zetu angalau kila mkoa ili wakulima huko vijijini wapate soko la kuuzia mazao yao na waliko mjini tupate ajira za kutosha.Hii ndiyo miradi ya msingi kabisa ambayo kila serekali ya nchi masikini kama yetu inatakiwa kuanza nayo,ila kwa ma-genius na first class economists wa ccm hayo maghorofa na misururu ya magari barabarani ndiyo maendeleo .