Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa serikali ya awamu ya nne. Stay tuned! Mambo mazuri yanakuja na yataendelea kuja chini ya serikali ya CCM.
Kama hutaki maendeleo wewe utakuwa ni mchawi na ukatafute nchi ya kuishi.
Shukrani kwa serikali ya awamu ya nne. Stay tuned! Mambo mazuri yanakuja na yataendelea kuja chini ya serikali ya CCM.
Kama hutaki maendeleo wewe utakuwa ni mchawi na ukatafute nchi ya kuishi.
Mmmmmh!Mipango mizuri ila tungeonyesha utekelezaji wa ile tuliokwisha panga.mwenye update za Kigamboni plz!
kama mleta uzi alivyosema kuwa hawatufahamishi, wataishia kuifanya wenyewe na pesa zao za uswizi na matokeo yake itabidi ifanyike party nyingine ya kupongeza waokoaji pale yatakapoporomoka. Jambo jema halifanyiki 'gizani'Hii itatokea labda miaka 200-300 ya Uhuru wa Tanganyika
kwahiyo unaanza kukagua PICHANimependa, niseme tu kweli...
Tunaomba mradi sasa tuukague