n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,015
- 2,680
- Thread starter
- #61
Nasikia maghorofa ya Chang'ombe (pale kwenye mafundi wa fenicha) yanakarabatiwa soon. Huenda wapangaji hawajaambiwa lakini tetesi zinadai pataboreshwa na hata hao mafundi wa fenicha ambao wameingia hadi milangoni watahamishwa (panaweza kuchimbika kiasi chake) lakini baadae huenda wakajengwa Furniture Mall eneo hilo hilo.Nashauri pia wayaangalie na majengo yaliyopo yanakarabatiwa ili yadumu. Wataalam watumike majengo yasijeanguka tena
The future is promising, endapo siasa hazitaharibu