Nchi yetu imejaa wezi sana, naona sasa umezuka ufisadi wa aina mpya wa kutuchorea picha/city plans na kupiga hela za walipa kodi. Ukiuliza ni TZS ngap zimetumika katika kudevelop hiyo plan unaweza ukazimia. Kama kweli serikali imedhamiria kuendeleza nchi, kwanini isimalize plan ambayo tayari ipo???? Au kigamboni project imeshaisha???? Pia hiyo ni mbinu tu ya kutuibia lile eneo maana bila mapichapicha ya hivi pale hapaingiliki.
Kama nguvu ya kuendeleza eneo hilo ipo, pls tumalizieni kwanza Kigamboni project kisha tuamie Kawe. Hizi ni namna ya kutuibia hela kwa kujifanya wamelipa mabilioni kwa hao wanaodevelop hizo plan. Wiiiiizi mtupu. Hii serikali ilishajitoaga kwenye uwekezaji, kiherehere tena cha nn kwenye kugharamia maplan ya mabilion haya??? Wapelekeeni madawa na maendeleo bibi zangu vijijini.