Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Naambiwa eneo lenyewe limeanza kusafishwa tangu Agosti 10. Bado unaamini ni ndoto?
Kawe hamna eneo la kuweka mradi mkubwa hivi
Unless waseme wanahamisha watu kutoka Mediteraneo , Tanganyika packers, JKT hadi darajani kule karibu na hospitali ya jeshi.
Naambiwa eneo lenyewe limeanza kusafishwa tangu Agosti 10. Bado unaamini ni ndoto?
Kawe hamna eneo la kuweka mradi mkubwa hivi.Unless waseme wanahamisha watu kutoka Mediteraneo , Tanganyika packers, JKT hadi darajani kule karibu na hospitali ya jeshi.
Usituletee huku Kenya..tayari tumeshuhudia mji wenu kumalizika kwa ndoto, tafadhali naomba musituletee ugonjwa wenu wa ndoto za mchana za CCM huku Kenya.white elephants in Tanzania $ real big things in KenyaKidogo niweke kule kwa watani zetu ili tuwaringishie
:high5:
Project ikifanyiwa kazi na siasa zikawekwa kando, basi tutaelekea kuzuri, ajira zitatengenezwa, mapato yatakusanywa.
kumbe kazi kapewa JEETU PATEL! huyu jamaa nomaaaclear photos of the two sites
CRJE SITE
ESTIM SITE