Command centre ya Hezbollah yasambaratishiwa mbali, yafichua IDF

Command centre ya Hezbollah yasambaratishiwa mbali, yafichua IDF

Habari kutoka Israel 😄

Mimi Israel hata akiniambia tel Aviv hakuna mbu lazima nikahikishe mwenyewe mana ni waongo sijawahi kuona.

Hawakuiweza Central command ya Hamasi waiweze ya Hezbullah kweli vichaa peke ndio watamini hayo
saivi HAMASI hawana CP pia hawana uwexo wa kurusha tena makombora kwelekea Israel hii ni kumaanisha kuna uwezo umewapungukia.
japo vita vinaenda na propaganda ili kutengeneza hofu kwa mpinzani. team za propaganda lazma ziwe vizur.

Wataalama wa vita au majeshi saiv wanajua nani kashikwa pabaya
 
saivi HAMASI hawana CP pia hawana uwexo wa kurusha tena makombora kwelekea Israel hii ni kumaanisha kuna uwezo umewapungukia.
japo vita vinaenda na propaganda ili kutengeneza hofu kwa mpinzani. team za propaganda lazma ziwe vizur.

Wataalama wa vita au majeshi saiv wanajua nani kashikwa pabaya
Toka lini hamas kashindwa kurusha rockets ndani ya israhell
Hamas haikurupuki tu na kurusha ma 🚀 hua inaangalia
Si juzi tu hapa 01/01/2024 walipeleka makhshishi huko israhell tena zilitokea huko huko kaskazini wanapodai kua eti wamepadhibiti
 
Hezbullah huwa hajibu ujinga kama huo, hata Hamasi aliwahi kujibu kama Al shifaa hospital haipo central command yao, alikuwa kimya alitaka dunia nzima waone ujinga wa Israel 😄
Ushabiki maandazi, unajigeuza msemaji wa Hezbollah, ingia mtandaoni uone sasa
 
Ushabiki maandazi, unajigeuza msemaji wa Hezbollah, ingia mtandaoni uone sasa
nionyesheni habari kama hio kutoka sehemu zingine, si cnn, si bbc, si Si Aljazeera, au Al manar tv ya Hezbullah wamesema central command ya Hezbullah imeshambuliwa.
 
saivi HAMASI hawana CP pia hawana uwexo wa kurusha tena makombora kwelekea Israel hii ni kumaanisha kuna uwezo umewapungukia.
japo vita vinaenda na propaganda ili kutengeneza hofu kwa mpinzani. team za propaganda lazma ziwe vizur.

Wataalama wa vita au majeshi saiv wanajua nani kashikwa pabaya
😄 Waulize Asqalani jana tu wamepokea mvua za missiles
 
Hamasi hawakukanusha pale pale nipe dalili.

Pia Hezbullah watajibu lakini kawaida ya Hezbullah anakupiga afu ndio anakupa jibu
Kiongozi wa Hezbollah mh Hassan ana mikwara kama ya Shehe Ponda 😂

Kidume alikuwa Osama Bin laden na mdogo wake Mulla Omar muda wote Mashine iko pembeni dadeki!
 
saivi HAMASI hawana CP pia hawana uwexo wa kurusha tena makombora kwelekea Israel hii ni kumaanisha kuna uwezo umewapungukia.
japo vita vinaenda na propaganda ili kutengeneza hofu kwa mpinzani. team za propaganda lazma ziwe vizur.

Wataalama wa vita au majeshi saiv wanajua nani kashikwa pabaya
dogo hi leo hii hizo Missiles zime land haya ongea lingine
Israel ameishia kuvunja majumba hapo Gaza leo


View: https://youtu.be/IAQaQ9s7140?si=13Qh-jW8bRkWr50l
 
Habari kutoka Israel 😄

Mimi Israel hata akiniambia tel Aviv hakuna mbu lazima nikahikishe mwenyewe mana ni waongo sijawahi kuona.

Hawakuiweza Central command ya Hamasi waiweze ya Hezbullah kweli vichaa peke ndio watamini hayo
Bado upo wapi?
Command centre ya Hamas ilifutwa tangu Oktoba, 2023. Hamas kwa sasa hawawezi kukutana hata chooni kwa nusu saa, watatandikwa faster faster.

Hivi mpaka Sasa, Hamas imebakiza viongozi wangapi walio bado hai?
 
Hizbullah ni kama joka la Kibisa, linatosha kuchezea ngoma tu, mikwara kibao lakini hakuna kitu.
 
Bado upo wapi?
Command centre ya Hamas ilifutwa tangu Oktoba, 2023. Hamas kwa sasa hawawezi kukutana hata chooni kwa nusu saa, watatandikwa faster faster.

Hivi mpaka Sasa, Hamas imebakiza viongozi wangapi walio bado hai?
We kaa una kula maembe pombe yatakusaidia.

Ikiwa Israel hajaipata we umeiona 😄
 
saivi HAMASI hawana CP pia hawana uwexo wa kurusha tena makombora kwelekea Israel hii ni kumaanisha kuna uwezo umewapungukia.
japo vita vinaenda na propaganda ili kutengeneza hofu kwa mpinzani. team za propaganda lazma ziwe vizur.

Wataalama wa vita au majeshi saiv wanajua nani kashikwa pabaya
hi leo dogo kila siku toka umeongea Hamasi wanakusuta


View: https://youtu.be/jFKdfWoMhVw?si=a8LrBZgxfHZ9ImRX
 
Habari kutoka Israel [emoji1]

Mimi Israel hata akiniambia tel Aviv hakuna mbu lazima nikahikishe mwenyewe mana ni waongo sijawahi kuona.

Hawakuiweza Central command ya Hamasi waiweze ya Hezbullah kweli vichaa peke ndio watamini hayo
Hadi uambiwe na Mazinge eeeeeh?
 
Back
Top Bottom