Comments za mitandaoni: Comment gani ilikufurahisha zaidi?

Comments za mitandaoni: Comment gani ilikufurahisha zaidi?

Last Seen

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
229
Reaction score
566
Habari wanna JF.

Mtu anapopost video, picha au andiko lolote mitandaoni lazima apokee comments tofauti tofauti, Kuna zingine nzuri, zingine mbaya na zingine za kufurahisha.

Ni comment gani ilikufurahisha zaidi?
 
Mada yako inaweza isieleweke mana hujaweka mfamo. Anza kwanza ww inayokufurahisha au ndio watu waje na zao
 
Uzi wa namba hii upo humu na una comments nyingi sana achana nao huu uzi
 
[emoji23][emoji116]
Screenshot_20200628-103135.jpg
 
Mtia nia aliandika ktk ukurasa wake wa SN "Dua zenu jaman"
Wananchi aka comment "huo muda wa kukuombea dua si bora nikanywe bia" 😆😆😆
 
Back
Top Bottom