October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
R Na L ni makosa ya kisarufi au kimsamiati, kama makosa ya kimsamiati unawezaje kubadilika ??R na L nimejifunza kutofautisha humu humu JF. Waliokua wanakwazika wamenisaidia aisee. Shida wengine standard 1 to 3 ndio tulikua watundu hata shule sometimes hatufiki.
Jirekebishe tu kama umekosea hata kama wanakurekebisha kwa kukomoaNi kweli kurekebishana kunajenga, huwa kuna kujifunza ndani yake, hata kama mtu atachukia.
Japo wengine hufanya kwa kukomoa.
R Na L ni makosa ya kisarufi au kimsamiati, kama makosa ya kimsamiati unawezaje kubadilika ??
naskia kanunua zile boat zote za bakhressa ila hapend show off[emoji4]Alikiba hapendi show off [emoji16][emoji16]
[emoji120][emoji120][emoji120]Endelea kusoma tu mkuu