Commonwealth na Chevening Scholarships: Naomba USHAURI, Nilikosa lastly

Commonwealth na Chevening Scholarships: Naomba USHAURI, Nilikosa lastly

Hakuna chuo kisichoitaji karatasi ya lugha ndio maana mwamba hapo maelezo mengi kachemka kutaja mkapige tu paper British council
Mkuu, acha ujuaji mwingi, penda kujifunza kwa watu wenye experiences na skills. Duh.
Chuo kinaweza sema pua IELTS ni lazma, lakin kikaona sio muhim km degree umesoma kwa Kimombo. Mimi nimepata viwili ambayo nimewatumia email na wamejibu kuwa hawahitaji lugha km natokea Tanzania.
[emoji1787][emoji3]
music mimi ni MUHA
 
Wakubwa habari za muda huu....so sorry kama kuna mweny hints za undegraduate scholarship naomba muongozo...nimeishia kucertify vyeti na kupata passport lakn gks imenitupa kwa deadline yao ....najua mnatafta upande wa masters naomben jmn mnipe information...mahitaji gan niongeze ili niweze kuapply though ielts cjafany 🙏🙏
 
All the best, everything you need, is there in the internet, ukiitumia internet yako vizuri, nakuhakikishia 100% you are able to complete the application process and submit a very competitive application.
Ukihitaji any assistance, you are welcome nitajitahidi kujibu maswali na kuprovide the required assistance as needed.
Mkuu naweza kuanza leo au nishachelewa?
 
Mkuu, acha ujuaji mwingi, penda kujifunza kwa watu wenye experiences na skills. Duh.
Chuo kinaweza sema pua IELTS ni lazma, lakin kikaona sio muhim km degree umesoma kwa Kimombo. Mimi nimepata viwili ambayo nimewatumia email na wamejibu kuwa hawahitaji lugha km natokea Tanzania.
[emoji1787][emoji3]
music mimi ni MUHA
IMG_20231024_073912.jpg

Jifunze kuelekezwa.
 
Mkuu, acha ujuaji mwingi, penda kujifunza kwa watu wenye experiences na skills. Duh.
Chuo kinaweza sema pua IELTS ni lazma, lakin kikaona sio muhim km degree umesoma kwa Kimombo. Mimi nimepata viwili ambayo nimewatumia email na wamejibu kuwa hawahitaji lugha km natokea Tanzania.
[emoji1787][emoji3]
music mimi ni MUHA
Kaka naomba kuuliza, nawezaje kupata condition letters kabla ya deadline ya submission? Maana nimeomba ila bado sijapewa condition letter hata chuo kimoja nilichoomba na deadline imekaribia. Please help!
 
Kaka naomba kuuliza, nawezaje kupata condition letters kabla ya deadline ya submission? Maana nimeomba ila bado sijapewa condition letter hata chuo kimoja nilichoomba na deadline imekaribia. Please help!
Unaweza kusubmit bila hizo letter inaruhusiwa isipokuwa wanasema ifikapo January km sio December uwe nayo.
Lingine jaribu kuwatumia email kuwa unaomba scholarship na conditional ni one of your important attachment watakupa au kukupa reply nzuri tu. Mm walinambia ni wiki 6, niliwatumia wakanitumia within a week
 
Unaweza kusubmit bila hizo letter inaruhusiwa isipokuwa wanasema ifikapo January km sio December uwe nayo.
Lingine jaribu kuwatumia email kuwa unaomba scholarship na conditional ni one of your important attachment watakupa au kukupa reply nzuri tu. Mm walinambia ni wiki 6, niliwatumia wakanitumia within a week
Asante sana.
 
Hakuna chuo kisichoitaji karatasi ya lugha ndio maana mwamba hapo maelezo mengi kachemka kutaja mkapige tu paper British council
Siyo kweli, mie nilipata unconditional offer from Swansea University na Essex University kwa hiyo inategemea na vigezo vyao ambavyo kwa mawazo yangu GPA ni kigezo kikubwa.
 
Scholarships ni kwa watu wenye akili.
 
Mkuu, tatizo unajidai unajua na wakati hujui, siyo vyuo vyote uingereza wanataka vyeti vya lugha.

Endelea kuwa mbishi .nenda kakomae na mitihani yako .
Kabisa chief, unconditional offer zinatolewa tu hata bila cheti Cha lugha sema tusipepese macho GPA ni factor hapo kupata iyo unconditional offer
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nqjitahidi kuomba scholarship za nje, master's degree, lakin nakosa toka mwaka juzi. Niliomba Pan African, Korea, na UK.

This time nimeomba Pan African, na kwa wiki hii nipo nipo kwa process nimeshaanza Commonwealth ilitangazwa sept 5 na chevening nayo sept 12.

Mwaka jana nimekosa zote, najitahidi kuomba tena. Offcourse zina challenge kidogo kama essay nyingi, unconditional offer, reference na attachm3nt baadhi plus IELETS.

Kwa wajuzi na wazoefu wa hizi mambo please. Naomba ushauri ili niweze kufanikiwa mwaka huu.

Dodosha nondo hapo Mkuu.
Vitu vikigoma, pambana sana, vikigoma pamoja na juhudi zote, achana navyo.
 
NATAFUTA WATU WA AINA 3

1. SIJAPATA AJIRA LAKINI:
- Nimechoka kukaa nyumbani bila kufanya chochote.
~ Nataka kujenga urithi kwa familia yangu.
~ Nahitaji Kipato changu Mwenyewe

2. NIMEAJIRIWA LAKINI:
- Mshahara wangu hautoshi kukidhi mahitaji yangu yote.
~ Nahitaji kipato cha ziada.
~ Natafuta utulivu/uhuru wa kifedha.
~ Nimechoka kusubiri mshahara kila mwezi.

3. NAPENDA KUSAFIRI LAKINI:
~Siwezi kumudu.
~ Mapato yangu ya kila mwezi hayaniruhusu kuweka akiba kwa likizo. ~Sina uhuru wa kifedha.

• Tunatoa Fursa ya Biashara kwa kila mtu ambaye anataka kutimiza malengo na ndoto zake huu mwaka 2024

If You are Interested, Feel free to CLICK THE LINK [emoji116] FOR MORE | WORK WITH ME
[emoji117] In WhatsApp teilen
 
Naomba kueleweshwa kuhusu conditional and unconditional offer
Condition letter inakuwa na masharti maybe ili upewe admission lazima u-submit IELTS certificate au uwe umelipa kiasi fulani cha ada au upeleke barua ya scholarship.. unconditional unatakiwa kulipia gharama za admission then wanakupa admission letter.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nqjitahidi kuomba scholarship za nje, master's degree, lakin nakosa toka mwaka juzi. Niliomba Pan African, Korea, na UK.

This time nimeomba Pan African, na kwa wiki hii nipo nipo kwa process nimeshaanza Commonwealth ilitangazwa sept 5 na chevening nayo sept 12.

Mwaka jana nimekosa zote, najitahidi kuomba tena. Offcourse zina challenge kidogo kama essay nyingi, unconditional offer, reference na attachm3nt baadhi plus IELETS.

Kwa wajuzi na wazoefu wa hizi mambo please. Naomba ushauri ili niweze kufanikiwa mwaka huu.

Dodosha nondo hapo Mkuu.
Issue kubwa ni hiyo IELETS
 
Hautakiwi kukata tamaa. Hizo scholarships ni very competitive zote. Ideally, mara nyingi zaidi unavyozidi ku apply, unaongeza chances zako za kufanikiwa. Ni wachache sana wanazipata on the first attempt. Mimi nilipata hiyo ya Commonwealth, ila nilipata on my third attempt, na my breakthrough ilikua kumpa a previous year winner a review my essays, alinisaidia sana.
Fanya yafuatayo:
1.Ingia Youtube, search 'how to write competitive cheveneng scholarship essays" utapata channels na videos kibao ambazo zimeongelea kinaga ubaga namna ya kufanya essays zako kuwa competitive. Do the same for Commomwealth as well.
2.Hakikisha essays zako zinakua reviewed na mtu ambae aliwahi kushinda mojawapo ya hizo scholarship, hii ni muhimu sana sana, I cant emphasize this enough!! Aliewahi shinda anakua na uzoefu na anajua what it takes to write a winning essay. Unaweza ukawa unasubmit essays kila siku kumbe ziko chini ya kiwango. Ukishaandika essays zako, tafuta mtu aliewahi shinda mtumie azicheki atakusaidia kukwambia wapi pa ku improve. I can assist you with this one free of charge if you wish, as nimewahi pata Commonwealth scholarship.
3. Referees' recommendation letters-Hizi scholarships zote wanahitaji recommendation letters from referees, na zinapokua strong zinakuongezea chances za kushinda pia. So, kusaidia saa zingine huwa inashauriwa wewe kuandika the recommendation letter, ikiwa ume link kwa ustadi na ulichoandika kwenye essays zako, kisha unamtumia referree, yeye anaisoma na kuongezea vichache kama ana cha kuongezea, then anaisaini, sometimes kinachoangusha ni kwamba unakuta recommendation letter toka kwa referrees wako haziko strong kihivyo au hazina link yoyote na ulichoandika kwenye essays zako.
4. Soma kitabu hiki hapa (See attachment) kimeeelezea vizuri SANA namna ya kuandika competitive essays za Cheveneng kwa essay moja moja, nini cha kuweka, how to write it with specific examples. Very useful.
You can PM me kama utakua na maswali zaidi au kuhitaji usaidizi zaidi.Asante.
MoroGent
Ushauri Mzuri sana , hata mm nishajaribu zaidi ya mara mbili
 
Back
Top Bottom