Compare and contrast, lazima majengo ya kariakoo yaanguke yote maana yamejengwa hivyo yote

Compare and contrast, lazima majengo ya kariakoo yaanguke yote maana yamejengwa hivyo yote

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Serikli ifanye tathimini ya majengo yote kariakoo, yooooooooooooooooooooooooooote! short of that makubwa yanakuja kwenye s clled gorofa za kariakoo.

angalia na linganisha floor hizo mbili


View: https://x.com/i/status/1857878582976229744



1731847388332.jpeg



1731847456201.jpeg
 
Hayo yanayoonekana kama viroba ni nini
 
Mwenye jengo alicho sahau ni kwamba mungu anakupa unachostahili na sio unachokitaka.........umeshapewa ridhiki mpaka ukajenga ghorofa sasa ni nini kilichomtuma kwenda kuichimba chimba ndani mpaka ikabomoka yote......haya sasa kakosa mwana na maji ya moto.........ama kweli ndio maana mamba hanaga mapumbu kama mbuzi
 
Mwenye jengo alicho sahau ni kwamba mungu anakupa unachostahili na sio unachokitaka.........umeshapewa ridhiki mpaka ukajenga ghorofa sasa ni nini kilichomtuma kwenda kuichimba chimba ndani mpaka ikabomoka yote......haya sasa kakosa mwana na maji ya moto.........ama kweli ndio maana mamba hanaga mapumbu kama mbuzi
Uhuni +ubahiri +ujuaji

Ova
 
Kariakoo wanajenga uchafu alafu utawasikia wapumbv fulani wanasema,aise kko sahv zinashushwa magorofa kumbe uchafu

Ova
Hawajui majanga ndio yanaongezeka hapo
Mtu ana maduka zaidi ya 40 kwenye jengo moja halafu tamaa zake za kishenzi anaongeza 40 zingine na serikali ipo inaangalia eti kisa watapata Kodi zaidi
Wa kuwalaumu ni hao hao wanaokula kodi huku wakikenua meno
 
Back
Top Bottom