intelinside
JF-Expert Member
- May 21, 2015
- 304
- 402
Huu sasa ni upumbavu, hilo jengo ndio lililodondoka kariakoo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwajuma kala hasara , mwajuma kala hasara....jina baya!Watanzania kwa kuingizwa cha kike ni vipaji vyenu, hio video sio ya jengo lililoporomoka.
Nyau mama yakomjinga wewe tafuta chanzo cha tatizo acha kukurupuka nyau wewe
achana na takataka hli, mimi nmeliblock, punguza takatakaKwahiyo aina hiyo ya ujenzi wewe unaona ni sawa? Shida huwa inaanza na watanzania wenyewe
mamayangu sio nyau nyau niwewe mjinga weweNyau mama yako
Maiti zinawekwa kwenye defender kama gunia. Dah! So sad. Hawana hata decency ya ku respect deceased.Very sad
Haki ya hao waliokufa na walikosa mali zao basi zote zinawekwa chini ya carpet
Uozo mwingi sana huko na hakuna anaejali
Hili nalo ni tatizo lisilohitaji akili kubwaMaiti zinawekwa kwenye defender kama gunia. Dah! So sad. Hawana hata decency ya ku respect deceased.
Serikli ifanye tathimini ya majengo yote kariakoo, yooooooooooooooooooooooooooote! short of that makubwa yanakuja kwenye s clled gorofa za kariakoo.
angalia na linganisha floor hizo mbili
View: https://x.com/i/status/1857878582976229744
View attachment 3154627
View attachment 3154628
Boss angalia video yako kuna Chombo cha usafiri kinapita kwa kasi, Congo barabara imefungwa kabisa huwezi pita kama hivyo. Hapo sio Congo na hilo jengo pia sio lililondoka, naifahamu kariakoo inside out sio kwamba naongea kwa mihemko kama nyie.Mwajuma kala hasara , mwajuma kala hasara....jina baya!
Fine, lakini wote ni uzembe//// Compare and contrast......Ila Tanzania sio ya kwanza kuanguka ghorofa,hata ulaya pia hutokea haya mambo.....note: "siungi mkono wala sitetei ujenzi holela usiofata taratibu za kiujenzi"
unanipeleka wapi, masema jengo... magari ymetok wapi tena na my point is angalia nondo zilivyosukwa katika picha hizo mbili. That is my point! compare and contrastBoss angalia video yako kuna Chombo cha usafiri kinapita kwa kasi, Congo barabara imefungwa kabisa huwezi pita kama hivyo. Hapo sio Congo na hilo jengo pia sio lililondoka, naifahamu kariakoo inside out sio kwamba naongea kwa mihemko kama nyie.
We angalia picha ulioeka na hio video ni jengo moja?
The point ni kwamba video uliyoweka ni feki, hilo sio jengo husika lililobomoka. So far taarifa iliyokuwepo ni kwamba walitaka kuongeza basement na sio kwamba lina nondo kama hio video yako.Fine, lakini wote ni uzembe//// Compare and contrast......
unanipeleka wapi, masema jengo... magari ymetok wapi tena na my point is angalia nondo zilivyosukwa katika picha hizo mbili. That is my point! compare and contrast
Baelezee bhabha baeleze baeleweacheni ufala watu wametifua chini ndiomana jengo likaanguka wajinga nyie
Wala hujakosea ndivyo walikuwa wanafanya wakulaumiwa wala sio mjenzi wa mwanzoTZ watu wengi ni wajuaji, hapo utakuta tajiri nae labda alikuwa anataka aongeze sehemu zaidi, mafundi na wataalamu bongo wakikushauri lazima na ww uwe na akili timamu maana pesa ndo wanahitaji...ukute bosi, wapambe na washauri wote wana tamaa ya kufa mtu.
NENDA X AND CONFIRM MY VIDEOThe point ni kwamba video uliyoweka ni feki, hilo sio jengo husika lililobomoka. So far taarifa iliyokuwepo ni kwamba walitaka kuongeza basement na sio kwamba lina nondo kama hio video yako.
Huko X kuna comment kama zangu video sio sahihi, mtu yoyote alishuhudia live jengo lililodondoka anajua video ya Uongo hio.NENDA X AND CONFIRM MY VIDEO