Mkuu, this is Africa. Hamna kitachotokea.Waliotoa vibali, waliopima, wajenzi, na mwenye jengo wote kamata
Very sadMkuu, this is Africa. Hamna kitachotokea.
Thubutu yake.Waliotoa vibali, waliopima, wajenzi, na mwenye jengo wote kamata
DR Mambo Jambo ....Serikli ifanye tathimini ya majengo yote kariakoo, yooooooooooooooooooooooooooote! short of that makubwa yanakuja kwenye s clled gorofa za kariakoo.
angalia na linganisha floor hizo mbili
View: https://x.com/i/status/1857878582976229744
View attachment 3154627
View attachment 3154628
Kariakoo wanajenga uchafu alafu utawasikia wapumbv fulani wanasema,aise kko sahv zinashushwa magorofa kumbe uchafuVery sad
Haki ya hao waliokufa na walikosa mali zao basi zote zinawekwa chini ya carpet
Uozo mwingi sana huko na hakuna anaejali
Kwahiyo aina hiyo ya ujenzi wewe unaona ni sawa? Shida huwa inaanza na watanzania wenyeweacheni ufala watu wametifua chini ndiomana jengo likaanguka wajinga nyie
tukana tuacheni ufala watu wametifua chini ndiomana jengo likaanguka wajinga nyie
mjinga wewe tafuta chanzo cha tatizo acha kukurupuka nyau wewetukana tu
Watanzania kwa kuingizwa cha kike ni vipaji vyenu, hio video sio ya jengo lililoporomoka.Serikli ifanye tathimini ya majengo yote kariakoo, yooooooooooooooooooooooooooote! short of that makubwa yanakuja kwenye s clled gorofa za kariakoo.
angalia na linganisha floor hizo mbili
View: https://x.com/i/status/1857878582976229744
View attachment 3154627
View attachment 3154628
Uhuni +ubahiri +ujuajiMwenye jengo alicho sahau ni kwamba mungu anakupa unachostahili na sio unachokitaka.........umeshapewa ridhiki mpaka ukajenga ghorofa sasa ni nini kilichomtuma kwenda kuichimba chimba ndani mpaka ikabomoka yote......haya sasa kakosa mwana na maji ya moto.........ama kweli ndio maana mamba hanaga mapumbu kama mbuzi
Hawajui majanga ndio yanaongezeka hapoKariakoo wanajenga uchafu alafu utawasikia wapumbv fulani wanasema,aise kko sahv zinashushwa magorofa kumbe uchafu
Ova
Bidhaa za magodown/stoo juuHayo yanayoonekana kama viroba ni nini
Sana Swali ni kwamba Nani anatakiwa Kuwajibika?