Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

uelewa wa watz ni mdogo sana, ndio maana unaweza toa statement kama hizi. Hali ya Kenya hata ikiwa mbaya, bado ni bora kuliko tanzagiza yenye UDHAIFU
Eti eh, ndio ujinga mnasomeshwa shuleni na waalimu wenu huu!!!!!


Inchi haina reserve hata ya kukarabati kipisi cha reli, unakuja kuandika upuuzi mzee!!! Si kosa lako, ukikua utaelewa.
 
Elimu ya bongo ni duni sana. Mbona watoto wenu hawakuugua kipindupindu licha ya kula kinyesi kila siku???
Elimu duni ila ina impact, si unaona umeshindwa kufikiri kwamba kama watoto wetu walikula mavi ya mbuzi[emoji16][emoji16][emoji16]!!!, halafu wakora na mamanzi wakala ya binaadamu hapo CBD.
 
Elimu duni ila ina impact, si unaona umeshindwa kufikiri kwamba kama watoto wetu walikula mavi ya mbuzi[emoji16][emoji16][emoji16]!!!, halafu wakora na mamanzi wakala ya binaadamu hapo CBD.
Mbona wataalam wakauita huu ugonjwa waterborne na sio faecesborne disease?
 
Eti eh, ndio ujinga mnasomeshwa shuleni na waalimu wenu huu!!!!!


Inchi haina reserve hata ya kukarabati kipisi cha reli, unakuja kuandika upuuzi mzee!!! Si kosa lako, ukikua utaelewa.
kweli wanalumumba ni majanga tupu! yaani wewe ulipo ni baba ya mtu lakini unaamini upuuzi wa "kwa pesa zetu za ndani"? magufuli mungu anakuona!
 
Mbona wataalam wakauita huu ugonjwa waterborne na sio faecesborne disease?
Yes, maji yanakuwa contaminated na hiyo kinyezi za choo, na za vijana cbd, since the single CBD in the world to lack of water is nairobi, kwahiyo maji yoyote yakionekana ni LuLu, kumbe mengine ni maji ya kuoza.
 
kweli wanalumumba ni majanga tupu! yaani wewe ulipo ni baba ya mtu lakini unaamini upuuzi wa "kwa pesa zetu za ndani"? magufuli mungu anakuona!
Wanalumumba achana nao, wasikuumize kichwa.

Ukisikia pesa za ndani unaelewa nini!!!, au unaona ni miujiza tu, maana hiyo kitu kenya ni ndoto.
 
Wanalumumba achana nao, wasikuumize kichwa.

Ukisikia pesa za ndani unaelewa nini!!!, au unaona ni miujiza tu, maana hiyo kitu kenya ni ndoto.
wewe ndio unafaa kulijibu hilo swali maanake inaonekana hamtumii akili! TRA inakusanya kiwango gani cha ushuru?
 
wewe ndio unafaa kulijibu hilo swali maanake inaonekana hamtumii akili! TRA inakusanya kiwango gani cha ushuru?
Unaamua kutukana, maana huna hoja tena. Next time ukiwa tayari kupata elimu kwangu hakikisha kichwa chako kimetulia, usinijie na stress za maisha ya kikenya mimi.sika hii-


TRA, monthly inakusanya roughly 1.3 trl tsh only,mishahara haivuki 600bln tsh, mpaka hapo umeshaelewa tz inakwendaje, au bado!!!
 
ukweli sio matusi, revenue ya mwaka mzima 2017/2018 ilikuwa TZS 14trl, bajeti ya 2018/2019 ni Tzs 32trl, recurrent expenditure(mishahara na kadhalika) ni TZS 20.47trl.
sasa nionyeshe fedha za ndani.
 
ukweli sio matusi, revenue ya mwaka mzima 2017/2018 ilikuwa TZS 14trl, bajeti ya 2018/2019 ni Tzs 32trl, recurrent expenditure(mishahara na kadhalika) ni TZS 20.47trl.
sasa nionyeshe fedha za ndani.
Una akili sawa sawa mzee?? , ndio maana nilikuuliza kwana unaelewa maana ya hiyo kauli!!!!
 
hiyo mauling ni upuuzi mtupu! kanusha hoja na facts sio mihemko.
Kuna hoja gani ya kukanusha hapo, hivi una fahamu pia unaweza uliza mtu swali ambalo hata wewe muulizaji hulijui.

Matokeo yake hutaelewa jibu lolote utakalopewa, ndio maana natafura msingi wa swali lako ilipo,maana hauonekani.

Nauliza tena, unajua maana ya neno pesa za ndani???
 
bra bra bra staki kusikia! tz haina uwezo wakuendesha miradi yeyote bila mikopo! pesa za ndani magufuli anatoa mkunduni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…