Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
😂😂😂 majiran sijui huwa mnafeli wapi, mbona mengine mpo vizuri,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah eti “Nang'au”49% ya Kenya revenue goes to pay salaries, mostly politicians who make only 2% of the population, majority of Kenyans don't get anything, that's why Kenya is "Man eat man society" aka "Nyang'au"
asante kwa kuweka nguvu comment yangu kuwa ni upuuzi kuleta bei hapa bila vigezo linganishi......ni hayo tu kwa sasa!Soma kuelewa bro. nimekuambia hiyo bei ya 2000 huwa ni kubwa na tena kwa msimu ambao mchele huwa mchache sokoni, nilichomaanisha ni kuwa mchele mara nyingi huuzwa kwa bei ambayo ni less than that.
Mchele kuwa na bei tofauti ni kawaida kutokana na msimu (season).. Wakati wa mavuno au mchele kuwa mwingi sokoni automatically price huwa chini tofauti na kipindi kingine.Hii ni kawaida kwa mazao ya kilimo yaani hata unga huwa vivyo hivyo
Hata Tanzania kuna places huwa na maisha rahisi kuliko maeneo mengine. Doctor anaekaa Dar na anaekaa mbeya hutofautiana ile real income maana Dar maisha ni expensive while Mbeya ni cheaper so, doctor wa mbeya ana saving capacity kubwa kuliko wa Dar. The same applie kwa Kenya vs Tanzania
Unauliza kuelewa au unauliza ili uendeleze league. Subiri wapenda league wenzioEyce amejisemea mwenyewe kuwa chakula Tz hakitozwi kodi afu bei ya mchele hubadilika kulingana na nyakati, hebu tuambie ni nyakati zipi kabla nikukumbushe elimu yenu ni kifungo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nakuchangamsha maini kidogo.RELAX. sijui uliupendea nini ule mji bila shaka kuna mtoto wa chuo alikupa vitu adimu akikusindikiza na view ya mount uluguru
Hao ni wataalam wa hapo forest sio wa afya,vibrio cholerae anaesababisha cholera husafirishwa na mechanical vector (nzi) na mara nyingi hutua kwenye chakula ambacho hakijafunikwa ,so kuanzia hapo ndio utaelewa ni feacaloral route ndio mostly husababisha choleraMbona wataalam wakauita huu ugonjwa waterborne na sio faecesborne disease?
Pale kwa kweli nusra nianzishe ushemeji.
Mtz mwenye akili awekeze kwenye kiwanja pale kama kweli reli itakamilika hadi Dodoma maana hako kamji kapo katikati.
Kwa hesabu za darasa la nne Au? Yani tri 1.3monthly kwa mwaka inakua 14?[emoji23] [emoji23]ukweli sio matusi, revenue ya mwaka mzima 2017/2018 ilikuwa TZS 14trl, bajeti ya 2018/2019 ni Tzs 32trl, recurrent expenditure(mishahara na kadhalika) ni TZS 20.47trl.
sasa nionyeshe fedha za ndani.
Nurse hana ujuzi wa kitabibu hata awe amesoma Harvard, hujua zaidi patient cares na kufuata drs order, hawezi diagnose hawafunzwi clinical skills,hawez fanya surgery hata pharmacology yake ni ndogo sana...my fren wewe jikite kwenye mada unazoziweza utaumbuka bureNakumbuka Ile ripoti ya WB iliosema madaktari wa Tz ni Sawa na nurse wa Kenya Kwa ujuzi!!!!!
Hao ni wataalam wa hapo forest sio wa afya,vibrio cholerae anaesababisha cholera husafirishwa na mechanical vector (nzi) na mara nyingi hutua kwenye chakula ambacho hakijafunikwa ,so kuanzia hapo ndio utaelewa ni feacaloral route ndio mostly husababisha cholera
Mchele uko hadi Wa buku na mia 6 inategemea uko wapThe price of rice
IN KENYA
1kg is KES 149.5/= sawa na TSH 3,412.9
IN TANZANIA
1kg is TSH 2000/= sawa na KES 87.6/=
Sometime swala sio mishahara but daily life expenses
Chambua hadi typing error upate credit, nimesema mostly husababishwaje ...enhee unalingine?You are completely wrong. Cholera is not a feacal disease but is both foodborne and waterborne disease. Just to correct you,there is nothing like feacaloral route but feacal-oral route.
Chambua hadi typing error upate credit, nimesema mostly husababishwaje ...enhee unalingine?
For real? World bank report? Wow, i have confirmed, it is a propaganda tool.Nakumbuka Ile ripoti ya WB iliosema madaktari wa Tz ni Sawa na nurse wa Kenya Kwa ujuzi!!!!!
Tatizo hakuna lugha unayielewa vizur,hopelessWhat I want you to know is that cholera is not a feacal disease venue you bobgolala are trying to say.
Ni sawa mkiwadharau wataalamu wetu wa afya, kwetu ndo hao wanatuhudumia na tunapona magonjwa yetu! Na tunawapenda sana madaktari wetu ambao kwenu ni ma-nurseNakumbuka Ile ripoti ya WB iliosema madaktari wa Tz ni Sawa na nurse wa Kenya Kwa ujuzi!!!!!
Tatizo hakuna lugha unayielewa vizur,hopeless