Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

Mimi sio wewe mwenye kila kitu unataka uangalie kwa google sma usome, what I'm saying here are what I read and they are still at my finger tips. Just as I told you earlier, you don't talk about oxygen but instead talk about hydroxyl groups which are located on the second carbon on the nucleic acid bases. That's why I'm telling you that you can't mislead me with your guessings.
Wewe ni mjinga sana, tena sana, tena sana, tena sana.
Katika RNA position 2 kuna ,(OH)
Katika DNA position 2 kuna (H)

Tofauti hapo ni nini?. Hapo mjue Kenya elimu yenu ipo chini sana.
 
Hey young man, I'm waiting for you to show me the hydrogen atom in carbon number 2.
Hahahahaha, you know I can't believe if you really don't know that the difference between RNA and DNA is only single oxygen atom, really?
 
Acha kulenga story man, I want you to show me the hydrogen atom in the second carbon in DNA.
Hahahahaha, you know I can't believe if you really don't know that the difference between RNA and DNA is only single oxygen atom, really?
 
Acha kulenga story man, I want you to show me the hydrogen atom in the second carbon in DNA.
Acha kujidhalilisha na kuidhalilisha nchi yako wewe
 
Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa money purchasing power ambacho kinabainisha kuwa, unaweza ukakuta mshara wa Daktari wa Kenya una uwezo wa kununua bidhaa ndani ya soko la Kenya, unazidiwa na ule wa daktari wa Tanzania ndani ya soko la Tanzania. Kwa mfano, mkate Kenya tuseme unaweza kuwa unauzwa KShs 200/= na Tanzania unauzwa TShs 1,500/= Kwa hapa tu unaweza kuona kuwa mkate wa Kenya unagharimu sawa na Tshs 4,000/= za Tanzania. Kwa hiyo kwa kuangalia nominal figures, huwezi ku-rule outright kwamba mshahara mkubwa wa Kenya una maslahi kuliko ule mdogo wa Tanzania, except tu kama huyo anayepata mshahara huo Kenya, atakuwa anaishi Tanzania na kutumia bidhaa za Tanzania. Kama anaishi Tanzania hapo sawa mshahara wake utakuwa una maslahi kuzidi wa mtanzania, lakini kama Daktari wa Tanzania anaishi Tanzania na wa Kenya naye anaishi Kenya, usishangae hiyo mishahara ikawa iko sawa, au hata ule unaouona mdogo, ukawa una purchasing power kubwa kuliko ule mkubwa wa nchi nyingine.

By the way, ulishagundua kuwa kadri currency ya nchi inavyozidi kuwa na thamani ukilinganisha na Dollar, ndivyo kadri bidhaa za nchi hiyo zinavyozidi kuwa expensive and vice-versae? Kwa mfano, Euro inavyozidi ku-appreciate against Dollar ndivyo kadri bidhaa ndani ya soko la EU zinavyozidi kuwa ghali na maisha ya mtu mmoja mmoja kuwa magumu, though uchumi wa EU kwa ujumla unaweza kuwa unazidi kuimarika. Watu wanaoishi kwenye vi-inchi amabvyo currency yake ni dhaifu ukilinganisha na dola, bidhaa zao ziko cheaper, japo macro level (uchumi wa nchi ) ndiyo unakuwa mgogoro. Kwa hiyo at micro-economics level, currency ambayo ni hafifu against Dollar huwa inaashiria bidhaa rahisi ndani ya soko la nchi husika, na uchumi dhaifu wa nchi (marcro-economics level) katika ujumla wake, and the vice-versa is true!
You are right only that mkate Kenya ni KShs 50 and not 200 ulivosema hapo. Not sure about TZ though!!
 
Between me and you who is embarrassing himself? You can't even support your answers. I keep on telling you that it's the hydroxyl group ndo inatolewa wewe umeinsist ati na oxygen. Now prove your claims from the images I have provided Mr google.
Are really sane?, umesoma hiyo link niliyokutumia au unataka picha ndio utaelewa?. Vuka border uje upate elimu ya science huku
 
Asiyekubali kushindwa si mshindani cc: joto la jiwe
You guys can makemake lots of cash you know.You're polymaths. I hope mna kazi nzuri. Change Africa for a better tomorrow. Acheni kudharauliana. Learn from each other. Hakuna ajuaye kila kitu.
 
Mr Tuusan there is nothing like carbohydroxyl.
Sikujua kua wewe ni smart kuliko vitabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] enhee kuna nn instead?
Carbohydroxyl group haiko kabisa duniani mm nmeota mchana au
 
Kwa hivyo hujui na ulikuwa unaniuliza. Ningejibu vibaya hungeweza kunikosoa. Right?
Aaah unaulizia ya cholera kumbe?nakumbuka baadhi ya vitu sio vingi lakini huwez kunidanganya ...unaweza ukakosea kidogo sio dhambi
 
Back
Top Bottom