King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia Kwenu wana JF,
Kwanza niwatakie heri katika siku hii ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu JK original.
~Nilikuwa naangalia Movie ya set it off(1996) ya kina Vivica uwa naipenda sana kuingalia mara kwa mara nilikuwa sijawahi kufatilia profile ya huyu dada ghafla nikashangaa kumbe kazaliwa 1964 now ana miaka 50 lakini ukimcheck bado mbichi tofauti na bibi bomba wetu huyu anayecheza miaka kati ya 24 mpaka 26 haishuki wala haipandi,ukimtazama bibi bomba na vivica,sepetunga anaonekana mzee!
~~
Vivica 2014
~~
~~~
Wema 2014
~~~
Kwanza niwatakie heri katika siku hii ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu JK original.
~Nilikuwa naangalia Movie ya set it off(1996) ya kina Vivica uwa naipenda sana kuingalia mara kwa mara nilikuwa sijawahi kufatilia profile ya huyu dada ghafla nikashangaa kumbe kazaliwa 1964 now ana miaka 50 lakini ukimcheck bado mbichi tofauti na bibi bomba wetu huyu anayecheza miaka kati ya 24 mpaka 26 haishuki wala haipandi,ukimtazama bibi bomba na vivica,sepetunga anaonekana mzee!
~~
Vivica 2014
~~
~~~
Wema 2014
~~~