Comparison: Wema Sepetu Vs. Vivica Fox

Comparison: Wema Sepetu Vs. Vivica Fox

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia Kwenu wana JF,
Kwanza niwatakie heri katika siku hii ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu JK original.
~Nilikuwa naangalia Movie ya set it off(1996) ya kina Vivica uwa naipenda sana kuingalia mara kwa mara nilikuwa sijawahi kufatilia profile ya huyu dada ghafla nikashangaa kumbe kazaliwa 1964 now ana miaka 50 lakini ukimcheck bado mbichi tofauti na bibi bomba wetu huyu anayecheza miaka kati ya 24 mpaka 26 haishuki wala haipandi,ukimtazama bibi bomba na vivica,sepetunga anaonekana mzee!
~~
Vivica 2014
~~
vivica+fox+green+dress.jpg

~~~
Wema 2014
~~~
Wema-Sepetu-2.jpg
 
Vivica hafanyi plastic surgery?

Ila kwa mimi, kati ya Wema na Vivica nitamchagua Wema.

Umri haudanganyi.

Vivica hafanyi P.S ila wema anafanya kumbuka mwaka jana nadhani alienda china kurekebisha ngozi yake! Ukiicheki ile movie ya set it off pale alikuwa na miaka 32 mcheck alivyo mtamu. akiwa na miaka 32 mrudishe nyuma alivyokuwa na 26 kama wema alikuwaje? Kama wewe unamchagua wema mpatie picha wema akiwa 50 atakuwa kama Vivica? Mie kwa sasa Ntamchagua Vivica japo ana 50 maana anaonekana mteke mteke kuliko wema.
 
Huyo vivica ni noma aisee pamoja na wa kitambo lakini analipa sana nadhani anaishi standard life anafanya mazoezi na kula vzuri tofauti na Wema hana mazoezi mlevi wa vinywaji vikali kutumia mwili vibaya kujichubua kuliko mfanya awe na michirizi na kupoteza mvuto Wema anategemea kuhongwa hela sasa akikosekana wa kumpa hela anafulia na kuwa na stress za maisha mana hana cha kumuingizia kipato
 
Tena hapa ameweka 360 ivoo
Ngoja niongeze nyingine
 

Attachments

  • 1413318717094.jpg
    1413318717094.jpg
    12.3 KB · Views: 3,887
Huyo vivica ni noma aisee pamoja na wa kitambo lakini analipa sana nadhani anaishi standard life anafanya mazoezi na kula vzuri tofauti na Wema hana mazoezi mlevi wa vinywaji vikali kutumia mwili vibaya kujichubua kuliko mfanya awe na michirizi na kupoteza mvuto Wema anategemea kuhongwa hela sasa akikosekana wa kumpa hela anafulia na kuwa na stress za maisha mana hana cha kumuingizia kipato

Yes analipa sana bado mbichi,sio yeye hata kina Monica Arnold ukicheck video yake ya 1995 na ya 2012 hazina mabadiriko sana wenzetu wanajua sana kujitunza.
~~~~
Monica Arnold Huyu Dada Hazeeki Kabisa
 
Kuna Movie moja inaitwa How Angela got her Groove Back amecheza huyu Vivica Fox nyie acheni! Mzee wa Umenyeni naomba ukaitafute Ni Shiiiiiidaaaaa!
 
Back
Top Bottom