Compilation, nasaha za JF

hahahahahahaha...hureee ...JF noumaa.... never get bored..
 
Na jambo hili ndio binafsi hunifanya nisiwe mchangiaji sana kule Siasani...watu kule huwa wanasahau wengine sisi ni Watanzania tuo na itikadi zozote...ila tunatambulika tu kama Watanzania.

tunaweza kutofautiana kiimani na kiitikadi za kisiasa lakini mioyoni mwetu sisi sote ni WATANZANIA.!
mara nyingi huwa tunapitiwa na kusahau hili jambo.!
 
FaizaFoxy unaona raha ya uraiani,
Natamani nisirudi tena kule siasani, loooh.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…