Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

b99152c99893c2d782162d95c461ce45.jpg

Naomba mnikumbushe huyu mhenga alisemaje??
Huyu mhenga ni yule aliyesema umaridadi huficha umasikini![emoji1]

Sent from my Lenovo A7010a48 using JamiiForums mobile app
 
Yule mhenga aliyesema aisha kum si matusi yupo wapi?

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Hahahah

Sent from my P40 using JamiiForums mobile app
 
7053184f159631b40242ffae08ebb61d.jpg

Huyo aliyekaa kifua wazi na kitambaa kichwani alikuwa ndio kwa mara ya kwanza anamwambia huyo mwenye kofia "ukistaajabu ya musa utaona ya firauni"
Jamaa unachekesha kishenzi, eti kwa mara ya kwanza
 
Back
Top Bottom