Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Walaaa huyo sio mhenga msisiri.duh aisee si mzee msisi wa msisiri huyu!? ama kweli ng'ombe hazeeki maini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaaa huyo sio mhenga msisiri.duh aisee si mzee msisi wa msisiri huyu!? ama kweli ng'ombe hazeeki maini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mshana bhana.....View attachment 541303
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Sorry wrongly posted
Ndio manakeYan kwamba wa TMK, MNZS, MBAGALA Hawaachi kitu
Muhenga aliyesema "nimepewa bure natoa bure sijamuona wakuu
Sent from my Planet5 using JamiiForums mobile app
Hata hapo tu mkuu amepiga rain boot? Yupo kikazi simchezo![]()
Huyu hapa aliesema usipoziba Ufa utajenga ukuta
Hii face inakejeli ya dharau yenye kiburi cha jeuri![]()
![]()
Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
Kila siku muwaige wao ya kwenu mtayafanya lini?Big up Mr.President......inaelekea baada ya hapo kwenye mlango anaingia shambani na gum boots zake.
Mfano wa kuigwa
..siyo likizo munakimbilia Dubai au South Africa
Nasikitika ni jambo linalotokea kwa bahati mbaya, ingekuwa ni kwa makusudi basi huu utaratibu ni mzuri wa kuzusha maneno ili kuokoa kizazi kinachotopea kwenye uzungu.Hili neno "Muhenga" sasa limeshika umaarufu kupita maelezo...
Sent from my bomberdia 4500 L6
Muhenga mwingine huyu hapa
![]()
Muhenga mwingine huyu hapa
![]()