Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Yale yaleee ya kukimbia maswali. Anyways, wewe sio wa kwanza kukimbia na sito shangaa ukianza kutumia ile kitu yenu mnayo ibonyeza ya "Ignore Button" kama yule mwingine unaye shirikiana naye katika DINI yenu ya Mpinga Mungu na Mpinga Kristo.

Huna hoja wewe.Unaulizwa swali unalikwepa kwa kuuliza swali kisha unalazimisha ujibiwe?.
 
Huna hoja wewe.Unaulizwa swali unalikwepa kwa kuuliza swali kisha unalazimisha ujibiwe?.
Si nilikwambia nenda kwenye Post ya 178. Ulisha kwenda hapo na kukosa jibu lako? Si, ndio maana nilisema, unataka mimi nikufundishe jinsi ya kusoma majibu. How low can you go and be. Huwa sijibu sali moja zaidi ya mara moja. Sasa jifunze kusoma majibu, maana kumbe hilo nalo ni tatizo kwenu.

SASA JIBU HAYA MASWALI UNAYO YAKIMBIA "IN RED"

How can Satan be unlimited? A creation will never be unlimited. It seems you don't get it Free ideas.

Can you show me the operations of Satan?

Jifunze "Who is God and why did he create mankind" Ukisha fahamu, then utakuwa umesha jijibu maswali yako yanayo onyesha kuwa, huna elimu kuhusu Mungu zaidi ya mabishano ya ligi.

I mean, how can you say and or ask is Satan is unlimited? Does Satan exist? Free ideas, can you prove to me that Satan does exist? Please, usianze kuchokonoa usivyo viweza.
 
What's the purpose of asking quetions?

Qur'an 5:101 "Believers, ask not questions about things which if made plain to you may cause you trouble when the Qur'an is revealed. Some people before you asked questions, and on that account lost their faith."


I haven't a clue!

In Sahih al-Bukhari, the most canonical hadith collection:

Volume 2, Book 24, Number 555:
Narrated Ash-sha'bi:
The clerk of Al-Mughira bin Shu'ba narrated, "Muawiya wrote to Al-Mughira bin Shu'ba: Write to me something which you have heard from the Prophet (p.b.u.h) ." So Al-Mughira wrote: I heard the Prophet saying, "Allah has hated for you three things:

1. Vain talks, (useless talk) that you talk too much or about others.

2. Wasting of wealth (by extravagance)

3. And asking too many questions (in disputed religious matters) or asking others for something (except in great need).


Go learn English.
What's the purpose of asking quetions?


Say what again..?
Yaap, I mean it
 

Qur'an 5:101 "Believers, ask not questions about things which if made plain to you may cause you trouble when the Qur'an is revealed. Some people before you asked questions, and on that account lost their faith."



In Sahih al-Bukhari, the most canonical hadith collection:

Volume 2, Book 24, Number 555:
Narrated Ash-sha'bi:
The clerk of Al-Mughira bin Shu'ba narrated, "Muawiya wrote to Al-Mughira bin Shu'ba: Write to me something which you have heard from the Prophet (p.b.u.h) ." So Al-Mughira wrote: I heard the Prophet saying, "Allah has hated for you three things:

1. Vain talks, (useless talk) that you talk too much or about others.

2. Wasting of wealth (by extravagance)

3. And asking too many questions (in disputed religious matters) or asking others for something (except in great need).

Yaap, I mean it

Huh...!?!?!?
 
holly crp! mungu hayupo kabisa kwenye picha, ulishawahi kuskia mtu kafanyiwa operation kwa kutumia bible? nguvu gani unazoongelea, za mungu aliyekuwa anatishia uhai wa huyu jamaa aliyefanyiwa operation hapo juu wajanja wamembadilishia moyo na akaendelea na maisha? kwa ugonjwa aliokuwa nao hata angefunga miaka elfu saba na kumwomba huyo jamaa anayeitwamungu angekufa tu!

lazima kuna nguvu au uwezo ulio juu ya hao madaktari, utake usitake, hicho kinachotawala ulimwengu na mifumo yake ndio Mungu mwenyewe huyo.
 
lazima kuna nguvu au uwezo ulio juu ya hao madaktari, utake usitake, hicho kinachotawala ulimwengu na mifumo yake ndio Mungu mwenyewe huyo.

hapo kwenye nyekundu, mwerevu huepuka sana kutumia maneno hayo kwenye mjadala! hakuna nguvu iliyo juuu yao, ni akili zao zilizo nyepesi kuelewa mambo waliyofundishwa na kuyatekeleza kwa uerevu wa hali ya juu, hilo si suala la "kushushiwa" kama kuhubiri inijili!
 
hapo kwenye nyekundu, mwerevu huepuka sana kutumia maneno hayo kwenye mjadala! hakuna nguvu iliyo juuu yao, ni akili zao zilizo nyepesi kuelewa mambo waliyofundishwa na kuyatekeleza kwa uerevu wa hali ya juu, hilo si suala la "kushushiwa" kama kuhubiri inijili!

Mkuu nakusoma kwa mbaali naona unakwepa kujib maswali unayolizwa na akina Ishmael!! Unajb post nyingine kabisa dah!!!

Yesu ni Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Wrong, nguzo ya umeme haionekani yenyewe.

Wewe unaona photons zinazosafiri kutoka kwenye nguzo ya umeme na kufika kwenye macho yako. Unaiona nguzo ya umeme si kama ilivyo sasa, bali kama ilivyokuwa hapo photons zilipotoka.

Kama mtu anaweza kwenda kwa kasi sana, anaweza kwenda kwenye nguzo ya umeme akaiondoa kabla ya particles zinazokuonyesha nguzo ya umeme ilipo hazijakufikia machoni, nguzo ya umeme isiendelee kuwapo, lakini wewe ukaona ipo.

To illustrate better this example, I will use the sun.

Tunapoangalia jua, hatulioni kama lilivyo sasa, bali kama lilivyokuwa dakika nane na sekunde ishirini zilizopita. Kwa maana huo ndio muda ambao mwanga unatumia kusafiri kutoka kwenye jua mpaka duniani kwenye macho yetu.

Kwa hiyo, jua likizimika ghafla sasa hivi, hatutajua kwamba jua limezimika mpaka zipite dakika nane na sekunde ishirini.

Hatuoni vitu kama vilivyo directly, tunaona effect ya vitu hivyo inavyotufikia kwa photons zinazosafiri kwa speed ya mwanga.

Basic relativity theory.

Nyota nyingine unazoziona usiku hazipo hapo zinapoonekana kuwapo. Zilishanyauka na kulipuka mamilioni ya miaka iliyopita.

Lakini unaziona hapo zilipo kwa sababu mwanga wake ndio kwanza unatufikia.

Hatuoni nyota, tunaona effect. Vivyo hivyo kila tunachokiona tunaona effect tu. Hakuna tunachokiona directly.

Napenda sana nondo zako mkuu Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Napenda sana nondo zako mkuu Kiranga

Wakuu kama nyie mnanipa nguvu ya kuendelea, hata pale wendawazimu wanapoonekana kutawala.

Ninashangaa sana kuona watu wa level ya "ukuu wa chuo" hawaelewi basic relativity.

Then again, it depends on what kind of chuo.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kama nyie mnanipa nguvu ya kuendelea, hata pale wendawazimu wanapoonekana kutawala.
Unaposema wendawazimu una maana gani? kama kwa maana ya CCM kuendelea kutawala hapo naweza nikakubaliana na wewe, vinginevyo ufafanue hiyo mantiki ya wendawazimu kuendelea kutawala...

Ninashangaa sana kuona watu wa level ya "ukuu wa chuo" hawaelewi basic relativity.
Dah! aisee...

Then again, it depends on what kind of chuo.
Dah! haya bana...
 
Unaposema wendawazimu una maana gani? kama kwa maana ya CCM kuendelea kutawala hapo naweza nikakubaliana na wewe, vinginevyo ufafanue hiyo mantiki ya wendawazimu kuendelea kutawala...


Dah! aisee...


Dah! haya bana...

Hahaaa,

Kuita CCM kuendelea kutawala uendawazimu ni sehemu ya uendawazimu.

And I am no CCM fan by any chance.
 
Hahaaa,

Kuita CCM kuendelea kutawala uendawazimu ni sehemu ya uendawazimu.

And I am no CCM fan by any chance.
Dah! aisee kwa hiyo ni uendawazimu juu ya uendawazimu, lakini inategemea na kipimo kinachotumika juu ya uendawazimu...
 
Wakuu kama nyie mnanipa nguvu ya kuendelea, hata pale wendawazimu wanapoonekana kutawala.

Ninashangaa sana kuona watu wa level ya "ukuu wa chuo" hawaelewi basic relativity.

Then again, it depends on what kind of chuo.

Romans 1: 29 being filled with all unrighteousness, wickedness, greed, evil; full of envy, murder, strife, deceit, malice; they are gossips, 30slanderers, haters of God, insolent, arrogant, boastful, inventors of evil, disobedient to parents, 31 without understanding, untrustworthy, unloving, unmerciful;…

god-haters_big.jpg
 
Back
Top Bottom